Written interview results: Health laboratory technologist & technologist pharmacy

sir nombo

Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
7
Reaction score
6
WRITTEN INTERVIEW RESULTS; HEALTH LABORATORY TECHNOLOGIST & TECHNOLOGIST PHARMACY
 

Attachments

Nilikuwepo nimepata Zero tunawaombea wote mliofaulu.. Mkatutibu vizuri mkopata kazi _ Tanzania inaongoza kuwa na magonjwa ya Ajabu
 
Kigezo cha nafasi 1 itagombaniwa na watu wa 3 kwenye oral interview ni cha kikatili sana. Unaweza kupiga 100 bado ukakosa nafasi😂
Sasa ulitaka wafanyeje na nafasi ni chache?
 
Kigezo cha nafasi 1 itagombaniwa na watu wa 3 kwenye oral interview ni cha kikatili sana. Unaweza kupiga 100 bado ukakosa nafasi😂
Hata shule, wote mkipiga 100 anaangaliwa mwenye mwandiko mzuri au aliyemaliza paper mapema. Tuwe tu wapole. PSRS wamewapiga wafamasia na kitu kizito
 
Hata shule, wote mkipiga 100 anaangaliwa mwenye mwandiko mzuri au aliyemaliza paper mapema. Tuwe tu wapole. PSRS wamewapiga wafamasia na kitu kizito
😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…