Written Interview Utumishi

Jiggy El Jefe

Senior Member
Joined
Aug 10, 2017
Posts
143
Reaction score
170
Habari za Muda wakuu,

Naomba Ushauri na kwa yeyote ambae ana uzoefu na inteview za utumishi kwani ndio mara ya kwanza na attend, kada ya commercial officer II (TRC). Walau nipate mwangaza wa interview zinavyokua.

AHSANTE
 
Huwa wana toa muda mchache sana jitahidi kuwa short and clear katika majibu yako ili atleast uweze kujibu maswali yote. Unaweza jikuta ume jibu maswali nusu kama utakua una andika sana.
 
Habari za Muda wakuu,

Naomba Ushauri na kwa yeyote ambae ana uzoefu na inteview za utumishi kwani ndio mara ya kwanza na attend, kada ya commercial officer II (TRC). Walau nipate mwangaza wa interview zinavyokua.

AHSANTE
kama ulishawahi kufanya matriculation exams unapojiunga Chuo Kikuu basi hivo ndivo hiyo mitihani inavokuwa
 
Omba mungu soma hakikisha unakuwa na mood ya mitihani soma research yote, kariri zile job duties and responsibilities kama reserve then soma mambo ya kada hyo ya commercial

Kumbuka pale ni dk 40 usipoteze muda
 
Kama hiyo kazi ilihitaji degree programme zaidi ya moja Focus sana na Research.
Sampling & its advantages, components of research proposal, Basics Types of Research, Research design, Approaches of data collection, (are few to mention) pitia na madesa ya class (muhimu sana haya).
 
Huwa wana toa muda mchache sana jitahidi kuwa short and clear katika majibu yako ili atleast uweze kujibu maswali yote. Unaweza jikuta ume jibu maswali nusu kama utakua una andika sana.
Nakazia hapa
 
Wakuu, wale waliowahi kuanya interviews za Kilimo naomba watuwekee manyanga hapa.. Huwa wanapenda kuuliza maswali gani.. hasa level ya Diploma
 
Kesho tunasubiria mrejesho wako hapa wa Written interview maana najua mpaka kufika saa 2 asubuhi mambo yanamalizika pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…