Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Kuna kipindi nilishindwa kununua kitabu kupitia rafiki yangu aliye marekani kwasababu hizohizo maana walinitaka wajue ni nani ninayemtumia zile fedha na yeye hakuwa tayari niwape hizo details zake. Nia yao ni ndogo tu. Monitoring!
Oh yeah....mtu akiwa anatuma hela kutoka bongo kwenda let's say Marekani, jamaa (Western Union) wanataka jina, immigration status (visa, green card, citizenship) na taarifa kama hizo za mtu anayetumiwa hela. It's very annoying wakati mtu aliyeko Marekani anaweza kutuma hela bongo kupitia Western Union kutoka kwenye comforts za nyumbani kwake kwenye kompyuta!!! Hakuna hata haja ya kwenda dukani na kujaza ile mifomu yao....ni click mbili tatu tu kitu na boksi
Oh yeah....mtu akiwa anatuma hela kutoka bongo kwenda let's say Marekani, jamaa (Western Union) wanataka jina, immigration status (visa, green card, citizenship) na taarifa kama hizo za mtu anayetumiwa hela. It's very annoying wakati mtu aliyeko Marekani anaweza kutuma hela bongo kupitia Western Union kutoka kwenye comforts za nyumbani kwake kwenye kompyuta!!! Hakuna hata haja ya kwenda dukani na kujaza ile mifomu yao....ni click mbili tatu tu kitu na boksi
Hivi kweli mtu utumie Western Union au Moneygram ku launder money? Lol....
Ask them, am dead sure they'll pass that as one of the reasons behind this gimmick!
Hivi kweli mtu utumie Western Union au Moneygram ku launder money? Lol....
yaani inakera kabisa nadhani tunakoelekea kwenye uchaguzi mkuu tutaona mengi sana.. hasa baada ya Gavana kudai kuwa watu walio nje ya nchi ndio wana lengo la kumchafua sasa wanakuja na huu upuuzi.. Kama sisi tunaotuma hadi dola 1000 bila kuulizwa tunamtumia nani huko Bongo iweje mtu anayetuma vijisenti vyake kwa mwanae kule Uganda atakiwe kupata hadi namba ya passport ya mtoto?
Kuna mabadiliko yamefanyika kwenye Western Union Tanzania ambapo sasa mtu kukutumia fedha kutoka Bongo hawezi kufanya hivyo isipokuwa hadi utoe taarifa zako za huko uliko (nchi unayotumiwa). Hii ni kwa mujibu wa maelekezo ya Benki Kuu ambayo WU(T) wamebandika katika vituo vyao.
Kwa hiyo mnaotumiwa fedha kutoka Bongo mjiandae kwa invasion mpya ya privacy. Mimi leo imebidi nitoe hadi jina la kijiji ninachoishi ili kuweza kupata vijisenti vyangu vya madafu!
Cha kushangaza sisi tunaotuma fedha nyingi zaidi kutoka sehemu kama Marekani kwenda Bongo tunazituma bila kulazimishwa kutoa taarifa za yule tunayemtumia, kazi yake, nambari yake ya passport, kijiji chake n.k!
Kuna kipindi nilishindwa kununua kitabu kupitia rafiki yangu aliye marekani kwasababu hizohizo maana walinitaka wajue ni nani ninayemtumia zile fedha na yeye hakuwa tayari niwape hizo details zake. Nia yao ni ndogo tu. Monitoring!
Hii yote ni katika uchaguzi unaokuja, wanataka kuwafahamu WTZ wote walio nje na shughuli zao kwani mumewakalia kooni na hivi sasa wine haipiti vizuri kooni.
Shida moja kubwa hivi wanashindwa vipi kuthibiti Capital Flight inayotokea Tanzania?
Oh yeah....mtu akiwa anatuma hela kutoka bongo kwenda let's say Marekani, jamaa (Western Union) wanataka jina, immigration status (visa, green card, citizenship) na taarifa kama hizo za mtu anayetumiwa hela. It's very annoying wakati mtu aliyeko Marekani anaweza kutuma hela bongo kupitia Western Union kutoka kwenye comforts za nyumbani kwake kwenye kompyuta!!! Hakuna hata haja ya kwenda dukani na kujaza ile mifomu yao....ni click mbili tatu tu kitu na boksi
Hivi kweli mtu utumie Western Union au Moneygram ku launder money? Lol....
kwa kweli wamenishangaza sana; sasa angalu wangekuwa wanafanya kama hapa Marekani ambapo ukituma zaidi ya dola 1000 ndio wanataka taarifa ZAKO wewe zaidi. Sasa mbongo anataka kumtumia shemeji yetu mdogo kule Kampala anaambiwa aeleze hadi wazazi wa binti wanafanya kazi gani huko! mnataka kuvunja ndoa za watu?
Idea ya ku-control pesa kutoka nyumbani ni nzuri, tatizo ni hiyo method wanayo-impose kuitumia..........
BoT wawe wanatoa kibali kwa anayetaka kutuma pesa nje ya nchi....ofcourse with a limit in relation na kipato cha mtumaji
Kweli, labda inahusiana na hii sheria mpya ya Election Financing ambayo wanataka kuipeleka Bungeni mwezi ujaoTutaona mengi kabla ya uchaguzi.