Wuamini wenzangu hii tabia Kanisani haikubaliki

Wuamini wenzangu hii tabia Kanisani haikubaliki

sexologist

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2010
Posts
2,276
Reaction score
976
Unampigia simu mtu hapokei halafu anatuma meseji ''nipo kanisani''...

Jamani kanisani unapataje muda wa kushika simu.. Tena katoliki takatifu la mitume!!!!

Damn it..
 
Hahahaa haaaa

Nimecheka coz ht.mi huwa nafanya hivyo bt kabla sijaanza maombi. ...ila kweli sio vzr
 
Ulianza vizuri ila ukaharibu kwa kusema Katoliki ni takatifu' (mother of harots)?
 
Kulikuwa na sababu gani ya kutaja hilo dhehebu
 
Kwa hiyo ID yako sishangai kuona umepost ujinga huu

invest what you are willing to loose
 
Unampigia simu mtu hapokei halafu anatuma meseji ''nipo kanisani''...

Jamani kanisani unapataje muda wa kushika simu.. Tena katoliki takatifu la mitume!!!!

Damn it..
Unashangaa? Nami kweli naahangaa. Jpili jamaa yuko bize hadi wasap anachat

Imetumwa kupitia Tecno Camon Cx
 
Back
Top Bottom