Nimeanza kuangalia Cheaters tokea 2001!!
Lazima utakuwa umepata maujuzi...miaka 11 si kidogo:wink2:
Bongo mtu anakataa LIVE alaaahh.
Unamuonyeesha mtu video wakati ana cheat
Ni sura yake kabisa, mbele ya kila mtu anakwambia huyo sio mimi ...
ipi hiyo??it has had an effect on me.
na watch toka 1998 enzi hizo Dstv ikiwa na channels 2 mbili tu, Mnet na supersport. kwenye Mnet walikuwa na Gerry Springer Show. (Cheaters haikuwa DSTV nilikuwa na watch via DISH)
ipi hiyo??