Tetesi: Wydad AC yatuma ofa Yanga kwa wachezaji wawili Aziz Ki na Mzize, Yanga yasema kila mmoja ni TSh. Bilioni 1.993

Ni habari njema hasa kwa Mzize. Wydad ni ticket nzuri sana kuingilia Ulaya.

Namtakia kila kheri.
Ahahahah unawajua waarabu wewe au umejiongelea kwa hisia, hao Lengo lao ni kumchukua na kwenda kumuweka mbao ndefu😂😂😂
 
Reactions: EEX
Sijui kwanini timu za nje hazimuoni Feisal na Kibu D. Kwa mtazamo wangu ndio wachezaji wazawa wenye viwango vikubwa kuliko wote .
Uliowataja ni wachezaji wa mihemko kusifiwa na wachambuzi
 
Hicho kiinglishi kilichotumika ni aibu kwetu kama Taifa.

Mwandishi atafute mtu wa kumsaidia kuandika haya mambo yake kama anataka kuwasilisha taarifa zake kwa adhira ya watu wanaotumia Kiingereza.
 
Sijui kwanini timu za nje hazimuoni Feisal na Kibu D. Kwa mtazamo wangu ndio wachezaji wazawa wenye viwango vikubwa kuliko wote .
Kibu nguvu kibao akili kisoda, Mla ugali sukari akili imo stamina urojo.
 
Asa duka atamuachia nani au ina maana anaenda kuacha kuwa wakala wa GSM?
Kijana wa Kitanzania katika harakati za kumsagia kunguni kijana mwenzake Mpambanaji wa Kitanzania.

Hapo unatamani sana ajitokeze tajiri aseme lile duka ni langu dogo ni winga tu..

UKITOBOA BONGO HATA SOMALIA UTATOBOA.
 
Kijana wa Kitanzania katika harakati za kumsagia kunguni kijana mwenzake Mpambanaji wa Kitanzania.

Hapo unatamani sana ajitokeze tajiri aseme lile duka ni langu dogo ni winga tu..

UKITOBOA BONGO HATA SOMALIA UTATOBOA.
Mbona mi namtaka kheri tu tena nimempigania sana humu ndani Yanga waache kumbania. Wewe unadhani Yanga wanavyokataa kumuachia ni kwa sababu ya faida yake au ya kina Hersi?

Ukifanya biashara ambayo bosi wako anayekulipa mshahara anafanya, kuna dalili fulani kuwa wewe unaweza kuwa wakala wake au anakuungisha kwa njia moja ama nyingine.
 
Hicho kiinglishi kilichotumika ni aibu kwetu kama Taifa.

Mwandishi atafute mtu wa kumsaidia kuandika haya mambo yake kama anataka kuwasilisha taarifa zake kwa adhira ya watu wanaotumia Kiingereza.
Huyo sio Mtanzania ni Mghana.
 
Nani Asajili wachezaji walevi na wavuta shisha😂 bado sindano hapo🪡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…