Simba haikucheza na Wydad ya kishingo, bali Wydad ya kocha aliyetimuliwa. Kwanini alitimuliwa? Ni kutokana na ku strugle kupata matokeo mazuri kwenye mechi kadhaa za makundi tena kwa timu za kawaida kama As vita, Petro Luanda, n k haswa wanspokuwa nyumbani