Wydad ingeiachia Simba fursa ya kucheza Club World Cup

Wydad ingeiachia Simba fursa ya kucheza Club World Cup

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Ukiangalia mwenendo wa Wydad unaona kabisa no timu ambayo itachukua muda mrefu sana kukaa sawa.

Club World Cup ni mwakani na Wydad ndiyo kwanza imefungiwa kufanya usajili kwa hiyo zoezi la kuboresha timu linazidi kuwa gumu.

Si muda mrefu watatimua kocha wao. Naona kabisa huko World Cup wanaenda kuchezea vichapo.

Hii nafasi ya kucheza World Cup wangeiuzia Simba ingekuwa na maana zaidi (kwa maana ya kuiachia nafasi halafu CAF ingeichukua Simba maana ni moja ya timu zilizokuwa na rank za juu na kuleta diversity katika wawakilishi).

Wydad wanaenda kutia aibu huko kwenye nchi ya Trump. Kina Ateba, Che Malone na Fernandez wangeiwakilisha vyema zaidi Africa.
 
Ukiangalia mwenendo wa Wydad unaona kabisa no timu ambayo itachukua muda mrefu sana kukaa sawa.

Club World Cup ni mwakani na Wydad ndiyo kwanza imefungiwa kufanya usajili kwa hiyo zoezi la kuboresha timu linazidi kuwa gumu.

Si muda mrefu watatimua kocha wao. Naona kabisa huko World Cup wanaenda kuchezea vichapo.

Hii nafasi ya kucheza World Cup wangeiuzia Simba ingekuwa na maana zaidi (kwa maana ya kuiachia nafasi halafu CAF ingeichukua Simba maana ni moja ya timu zilizokuwa na rank za juu na kuleta diversity katika wawakilishi).

Wanaenda kutia aibu huko kwenye nchi ya Trump. Kina Ateba, Che Malone na Fernandez wangeiwakilisha vyema zaidi Africa.
Simba inayoshiriki shirikisho (mashindano ya wamama) ndio iiwakilishe Afrika?. Kibara na kinchi hatuko tayari kwa aibu za zaidi.
 
Yaani ufungwe na tabora goli 3 nyumbani kwako, mbele ya mashabiki wako halafu ukamfunge al ahly uto si mtaenda kututia aibu nyinyi?
Kukosekana mabeki muhimu wa Yanga na timu kufungwa sio sababu ya kuidharau timu kubwa Africa. Tunarudi kibabe sana kaa mkao wa kula dozi kama kawaida.
 
Naunga mkono nafasi ya wydad watupe sisi simba chama kubwa chama la infantino tukaiwakilishe afrika ughaibuni. Wale real madrid na beki yao mbovu sijui eder militao itapigwa matobo na mavambo mpk ishangae. Povu ruksa wakinamama wa jangwani wavaa pichu upande bwana wenu nipo pala nawasubiri.
 
Ukiangalia mwenendo wa Wydad unaona kabisa no timu ambayo itachukua muda mrefu sana kukaa sawa.

Club World Cup ni mwakani na Wydad ndiyo kwanza imefungiwa kufanya usajili kwa hiyo zoezi la kuboresha timu linazidi kuwa gumu.

Si muda mrefu watatimua kocha wao. Naona kabisa huko World Cup wanaenda kuchezea vichapo.

Hii nafasi ya kucheza World Cup wangeiuzia Simba ingekuwa na maana zaidi (kwa maana ya kuiachia nafasi halafu CAF ingeichukua Simba maana ni moja ya timu zilizokuwa na rank za juu na kuleta diversity katika wawakilishi).

Wanaenda kutia aibu huko kwenye nchi ya Trump. Kina Ateba, Che Malone na Fernandez wangeiwakilisha vyema zaidi Africa.
Kule shida Si performance bali mshiko wakushiriki ni mkubwa mnooo,hawawezi goma kwenda
 
Kukosekana mabeki muhimu wa Yanga na timu kufungwa sio sababu ya kuidharau timu kubwa Africa. Tunarudi kibabe sana kaa mkao wa kula dozi kama kawaida.
Ukubwa wa timu unatambuliwa na mamlaka za soka, sio na washabiki maandazi wa timu hiyo. Ukiona mwanaume anawaambia watoto hamjui kuwa mimi ndio baba wa nyumba, ujue kuna kitu kimekosekana, anakilazimisha
 
Wydad pia inashiriki shirikisho, ni kwa kuwa hujui tu vigezo. CAF inachagua timu bora zenye consistence, sio za msimu mmoja mmoja
Tatizo kwny Mpira hata wajinga kabisa wamejaa nao wanatoa mawazo yao! endelea kuwapa elimu kaka
 
Kukosekana mabeki muhimu wa Yanga na timu kufungwa sio sababu ya kuidharau timu kubwa Africa. Tunarudi kibabe sana kaa mkao wa kula dozi kama kawaida.
Si mlisema mna kikosi kipana nyinyi? Kwahyo tukubaliane sasa hamna kikosi kipana? Wachezaji wenu ni kauka nikuvae
 
Hivi
Kukosekana mabeki muhimu wa Yanga na timu kufungwa sio sababu ya kuidharau timu kubwa Africa. Tunarudi kibabe sana kaa mkao wa kula dozi kama kawaida.
Hivi yanga ni yanga ngap kwenye rank za CAF?kwasababu timu kubwa Africa zipo kwenye top 10 za CAF
 
Kule shida Si performance bali mshiko wakushiriki ni mkubwa mnooo,hawawezi goma kwenda
Kujitoa sasa hivi kuna faini kubwa ambayo Simba wanaweza kukubali kuwalipia. Na kuhusu mshiko, behind the scene katika makubaliano, Simba inaweza kukubali kuwaachia mgao mkubwa. Hapo inakuwa win win kwa pande zote.

Simba itarudisha pesa ya faini kwenye mgao itakaopata. Ikiongeza wachezaji kama wawili wa gharama wenye uzoefu, mbona inaweza kusumbua huko America!
 
Wydad wanahuzunisha sana wana kila kitu pesa,mashabiki,network,connection wanashindwaje kuwa bora? Simba baada ya kuzinguliwa na viongozi matapeli kama try again na ngunguz mwamba mwenye mudi mafegi akaamua kufanya kweli ndani ya miezi 4 tu tayari tuna timu famasihara nini.!!
Kwahiyo tumeshakubaliana Simba imejipata??? Malalamiko ya kujenga timu tusiyasikie tena
 
Back
Top Bottom