Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vizuri sana kama mmeamua kuuzingatia ushauri wa baba yenu, alisema muachane na POLIMILAI.Sisi wengine tunasubiria matokeo baada ya dakika 90. Na siyo ushindi wa mdomoni.
Polimilai ndiyo mdudu gani?Ni vizuri sana kama mmeamua kuuzingatia ushauri wa baba yenu, alisema muachane na POLIMILAI.
Kweli kabisa. Maana mambo yakienda tofauti; basi lawama zote hupelekwa kwa wachezaji, benchi la ufundi, na mwekezaji.Ogopa sana kwenda na matokeo uwanjani..
Vipi diara kesho atachezaSimba wameanza kujitapa juzi tu baada ya kuivizia Yanga. Walikuwa kimyaaa! Na Leo ukimya unarudi!!
Umeona mnyama alivyomkanda ndugu yenu utopoloOgopa sana kwenda na matokeo uwanjani..
Ndio kamkanda 4 zeroUmeona mnyama alivyomkanda ndugu yenu utopolo
𝑵𝒅𝒊𝒐 4 𝒃𝒊𝒍𝒂 𝒉𝒊𝒛𝒐?Umeona mnyama alivyomkanda ndugu yenu utopolo
𝑵𝒅𝒊𝒐 4 𝒃𝒊𝒍𝒂 𝒉𝒊𝒛𝒐?
𝑲𝒘𝒂 𝒉𝒊𝒊 𝒑𝒂𝒑𝒂𝒕𝒖𝒑𝒂𝒑𝒂𝒕𝒖 𝒎𝒍𝒊𝒐𝒄𝒉𝒆𝒛𝒂 𝒍𝒆𝒐?Hizo ndio nne zimeanza kuhesabika kwao tunaenda kumpiga 3 zinahesabika 4 kamili mechi bado haijaisha hiyo punguza presha
𝑾𝒊𝒌𝒊 𝒊𝒋𝒂𝒚𝒐 𝒔𝒊𝒐 𝒎𝒃𝒂𝒍𝒊Umeona mnyama alivyomkanda ndugu yenu utopolo
𝑯𝒂𝒕𝒂 𝒍𝒆𝒐 𝒘𝒂𝒎𝒆𝒔𝒉𝒊𝒏𝒅𝒂 𝒊𝒍𝒂 𝒉𝒂𝒘𝒂𝒏𝒂 𝒇𝒖𝒓𝒂𝒉𝒂Kweli kabisa. Maana mambo yakienda tofauti; basi lawama zote hupelekwa kwa wachezaji, benchi la ufundi, na mwekezaji.