Ni vizuri sana kama mmeamua kuuzingatia ushauri wa baba yenu, alisema muachane na POLIMILAI.Sisi wengine tunasubiria matokeo baada ya dakika 90. Na siyo ushindi wa mdomoni.
Polimilai ndiyo mdudu gani?Ni vizuri sana kama mmeamua kuuzingatia ushauri wa baba yenu, alisema muachane na POLIMILAI.
Kweli kabisa. Maana mambo yakienda tofauti; basi lawama zote hupelekwa kwa wachezaji, benchi la ufundi, na mwekezaji.Ogopa sana kwenda na matokeo uwanjani..
Vipi diara kesho atachezaSimba wameanza kujitapa juzi tu baada ya kuivizia Yanga. Walikuwa kimyaaa! Na Leo ukimya unarudi!!
Umeona mnyama alivyomkanda ndugu yenu utopoloOgopa sana kwenda na matokeo uwanjani..
Ndio kamkanda 4 zeroUmeona mnyama alivyomkanda ndugu yenu utopolo
π΅π ππ 4 ππππ ππππ?Umeona mnyama alivyomkanda ndugu yenu utopolo
π΅π ππ 4 ππππ ππππ?
π²ππ πππ ππππππππππππ πππππππππ πππ?Hizo ndio nne zimeanza kuhesabika kwao tunaenda kumpiga 3 zinahesabika 4 kamili mechi bado haijaisha hiyo punguza presha
πΎπππ πππππ πππ πππππUmeona mnyama alivyomkanda ndugu yenu utopolo
π―πππ πππ πππππππππ π πππ ππππππ ππππππKweli kabisa. Maana mambo yakienda tofauti; basi lawama zote hupelekwa kwa wachezaji, benchi la ufundi, na mwekezaji.