Haswaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ile fitna wamepigwa wataenda wasimuliane nadhani hata wao kwenye ndege wanacheka kwamba hii hawajawahi kuiona dk 6 kupiga faulo [emoji119]
Mamelody wamefanya poa sana kuonesha wazi kile waarabu huwa wanafanya
Kweli hua tunakaziwa mimi ni simba dam dam nimefurahi waarabu kupigwa the rest is history.Malalamiko ni double standards. Kwa nini timu zingine zikiomba kucheza na waarabu ama mechi zao kwenye jua zinakataliwa.
Mfano simba alishakataliwa muda wa jua.
Simba na raja simba aliomba acheze saa 10 dar akakataliwa.
Mazembe aliomba acheze na esperence saa tisa congo akakataliwa
KAMA MAMELODI ANARUHUSIWA KUCHEZA KWENYE JUA WHY SIMBA NA MAZEMBE WANAKATALIWA ?
Hata km team yake, mbna sioni km inapewa ukubwa huo unaowaza wee? Mamelodi hawa wanaapigwa figisu za wazi kwenye CL,Mpira wa africa una uhuni mwingi sana
Mechi inaanza saa tisa jua kali
Hata yanga tuambiwe tunacheza na geita ama ihefu kwenye jua la saa tisa hatutoboi
Cha kushangaza mechi ya fainali Caf wanakubali ianze saa tisa kwenye jua kali sababu mwenye timu ndio rais wa caf anataka hela za zawadi ziwe zake
Wanstoboa za saa ngapiYANGA HAITOBOI MECHI YA SAA TISA JUANI.
Lakini inakwaje waarabu wanachoka kucheza kwenye jua mbona kama wana jangwa huko kwaoMalalamiko ni double standards. Kwa nini timu zingine zikiomba kucheza na waarabu ama mechi zao kwenye jua zinakataliwa.
Mfano simba alishakataliwa muda wa jua.
Simba na raja simba aliomba acheze saa 10 dar akakataliwa.
Mazembe aliomba acheze na esperence saa tisa congo akakataliwa
KAMA MAMELODI ANARUHUSIWA KUCHEZA KWENYE JUA WHY SIMBA NA MAZEMBE WANAKATALIWA ?
Hata km team yake, mbna sioni km inapewa ukubwa huo unaowaza wee? Mamelodi hawa wanaapigwa figisu za wazi kwenye CL,
Acha uongo, wydad wamekosa kombe kihalali.
Hata km team yake, mbna sioni km inapewa ukubwa huo unaowaza wee? Mamelodi hawa wanaapigwa figisu za wazi kwenye CL,
Acha uongo, wydad wamekosa kombe kihalali.
Lakini inakwaje waarabu wanachoka kucheza kwenye jua mbona kama wana jangwa huko kwao
Wanstoboa za saa ngapi
Mpira wa africa una uhuni mwingi sana
Mechi inaanza saa tisa jua kali
Hata yanga tuambiwe tunacheza na geita ama ihefu kwenye jua la saa tisa hatutoboi
Cha kushangaza mechi ya fainali Caf wanakubali ianze saa tisa kwenye jua kali sababu mwenye timu ndio rais wa caf anataka hela za zawadi ziwe zake
Kwamba Yanga acheze juani na Geita au Ihefu nani hatobohi na nani atatoboa, kwann?
Necha yao uogaNawapongeza sana masandawana kwenye kupoteza muda baada ya dk za nyongeza.. hawa waarabu ni wapuuzi sana na ndo tabia yao kila siku.
Mfano kipindi cha kwanza walikua wanapoteza muda kipumbavu mpaka kujifanya mtu kaumia, et kafungwa bandeji kubwa kichwani kumbe ni takataka tupu na uongo.
Baada yagame kuisha hakuwa na ile bandeji wala hakuwa na jeraha!! leo upumbavu wao umewarudia.
Hizi team za kiarabu kama fifa wakidhibiti fitna zao nq upuuzi wao nina uhakika hata kwa simba na yanga kwasasa hawatoki waarabu.
NB, CAF wanapaswa kuachana na upumbavu wa final 2 ni ujinga na kupoteza muda, final inakosa mvuto zikiwa 2.
Timu mwenyeji ina haki kisheria kupanga muda wa kucheza mechiMpira wa Africa una uhuni mwingi sana
Mechi inaanza saa tisa jua kali
Hata yanga tuambiwe tunacheza na geita ama ihefu kwenye jua la saa tisa hatutoboi
Cha kushangaza mechi ya fainali Caf wanakubali ianze saa tisa kwenye jua kali sababu mwenye timu ndio rais wa caf anataka hela za zawadi ziwe zake
Timu mwenyeji ina haki kisheria kupanga muda wa kucheza mechi
Ni sawa, ila kwa mamelodi sioni wakipewa ukubwa, had sometimes naonaga uzushi kuwa ni team ya motsepeMalalamiko ni double standards. Kwa nini timu zingine zikiomba kucheza na waarabu ama mechi zao kwenye jua zinakataliwa.
Mfano simba alishakataliwa muda wa jua.
Simba na raja simba aliomba acheze saa 10 dar akakataliwa.
Mazembe aliomba acheze na esperence saa tisa congo akakataliwa
KAMA MAMELODI ANARUHUSIWA KUCHEZA KWENYE JUA WHY SIMBA NA MAZEMBE WANAKATALIWA ?
Alfu havinaga akili waupe Sana washukuru. Hzo mafuta wanazo chimba vinginevyo wangekuwa omba omba maaruf
Toa Simba hapo, Ibaki hiyo nyingine.Nawapongeza sana masandawana kwenye kupoteza muda baada ya dk za nyongeza.. hawa waarabu ni wapuuzi sana na ndo tabia yao kila siku.
Mfano kipindi cha kwanza walikua wanapoteza muda kipumbavu mpaka kujifanya mtu kaumia, et kafungwa bandeji kubwa kichwani kumbe ni takataka tupu na uongo.
Baada yagame kuisha hakuwa na ile bandeji wala hakuwa na jeraha!! leo upumbavu wao umewarudia.
Hizi team za kiarabu kama fifa wakidhibiti fitna zao nq upuuzi wao nina uhakika hata kwa simba na yanga kwasasa hawatoki waarabu.
NB, CAF wanapaswa kuachana na upumbavu wa final 2 ni ujinga na kupoteza muda, final inakosa mvuto zikiwa 2.
Hii ndo hoja ya Msingi.CAF wanapaswa kuachana na upumbavu wa final 2 ni ujinga na kupoteza muda, final inakosa mvuto zikiwa 2.
Kwamba Yanga nayo imejaa wachezaji waarabu?YANGA HAITOBOI MECHI YA SAA TISA JUANI.