Mwanaume kumsifia mwanaume mwenzio handsome boy Kuna walakini.Petro atletico msimu uliopita walifika nusu fainali ya caf champions league.
Na robo fainali walimtoa mamelodi.
Hao wa Angola wana wa brazil wanaupiga mwingii balaa
Bila kusahau handsome boy Carlos Carrinhoss kipenzi cha wanayanga nae yupo Petro anawakilisha wananchi
Mwanaume kumsifia mwanaume mwenzio handsome boy Kuna walakini.
Huko si ndiyo Kuna akina kabwili na manara? Basi sawa. Viva uto!! Viva mwananchi!!Walakini unao wewe..sisi wananchi tulikuwa tunamuita carrinho handsome boy toka yuko Bongo anachezea timu yetu
Ni wivu tiMwanaume kumsifia mwanaume mwenzio handsome boy Kuna walakini.
Ety ulivyokuwa mlemavu wa akili unasema kabisa kocha anataka awaambie wakimbie duuuuuuuuhhHii ni mechi dume na wydad anaongoza moja lakin anapelekewa moto hatari hadi kocha wao anatamani kuwaambia wakimbie.
Huku kwetu mpira ni ushubwada tu, eti timu ina Kibu Denis, Boco, Mzamiru, halafu wanategemea kufika nusu. Timu ina Denis Nkane, Mudathir, Job, masihara makubwa sana.
Tanzania tunapenda sana ubabaishaji kila sehemu, sasa mbele ya Mamelod Sundown, Raja, Wydad, Al Ahly, hizi timu zetu zitapitia mlango gani kufika nusu?
Mpira ni uwekezaji na sio kuita press kila siku.
Mkuu una uhakika kuwa mamelod sundown alitolewa na Petro atletico msimu uliopita??Petro atletico msimu uliopita walifika nusu fainali ya caf champions league.
Na robo fainali walimtoa mamelodi.
Hao wa Angola wana wa brazil wanaupiga mwingii balaa
Bila kusahau handsome boy Carlos Carrinhoss kipenzi cha wanayanga nae yupo Petro anawakilisha wananchi
Mkuu una uhakika kuwa mamelod sundown alitolewa na Petro atletico msimu uliopita??
Kwani nyinyi mara yenu ya mwisho kufika hata robo fainali ya haya mashindano ni lini?wamekaa wakapanga na mganga kupeleka basi uwanjani kinyumenyume ndo watashinda!,timu zilizotumia msuli wa pesa kusajili ndo zitafika nusu huko.timu zilizookota wachezaji wa bure wakibahatisha basi mwisho robo tena kwa bahati sio uwezo.
Akili fupi,kila anaekosoa mapungufu ya Simba unajua ni shabiki wa Utopolo?Kwani nyinyi mara yenu ya mwisho kufika hata robo fainali ya haya mashindano ni lini?
Mshamba tu huyo jamaa.Wewe mleta ndio aina ya wabongo unaowasema. Wiki kadhaa zilizopita Yanga kapiga mpira mkubwa kwa waarabu na wachezaji hao hao unaowananga lakini tulifungwa jana Petro Luanda kacheza mpira nae kafungwa lakini wabongo ndio wanapigwa majungu