Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Ndivyo mpira ulivyo.Jana Wydad kakalishwa bao 1 nyumbani na Gwaneng Galaxy, viongozi na vyombo vya habari wamelalamika kuwa wa Bostwana hao wametumia mitishamba kuwafunga, wamedai haukuwa mchezo wa kawaida, wachezaji wao walikuwa wazito sana, pasi haziendi, magoli hayaingii, nimesikitika sana kweli Wydad timu kubwa ya afrika kulalamika kitoto namna hii, na nyie fanyeni tena nyie mna Kitabu kabisa ambacho ni suluhisho la matatio duniani.Piga kitabu cha maana muue ndumba hizo.
Mliofungwa 5 1 na utopolo kazi mnayo
Waambie hao Wydad FC kuwa wakija Dar es Salaam huenda hata wakati wa Mechi yao na watakaocheza nao wakawa Wanakunya tu kila Wakikimbia uwanjani kwa Uchawi ambao watakutana nao.Jana Wydad kakalishwa bao 1 nyumbani na Gwaneng Galaxy, viongozi na vyombo vya habari wamelalamika kuwa wa Bostwana hao wametumia mitishamba kuwafunga, wamedai haukuwa mchezo wa kawaida, wachezaji wao walikuwa wazito sana, pasi haziendi, magoli hayaingii, nimesikitika sana kweli Wydad timu kubwa ya afrika kulalamika kitoto namna hii, na nyie fanyeni tena nyie mna Kitabu kabisa ambacho ni suluhisho la matatio duniani.Piga kitabu cha maana muue ndumba hizo.
Mliofungwa 5 1 na utopolo kazi mnayo
Wydad vs Mamelod uliiona? AFL kule MoroccoWydad anampira wa kijanja kuna , simba alikua anatinga nusu msimu ulopita aloponea chupuchupu sana waidadi
Ile gemu ilikuwa ya moto sanaWydad vs Mamelod uliiona? AFL kule Morocco
Wydad atapigwa vibaya sana mzee, bookmark hiiWydad vs Mamelod uliiona? AFL kule Morocco
Na kolo five?Wydad atapigwa vibaya sana mzee, bookmark hii
Thimba hii hiiNa kolo five?
Kwani si huwa wanaswali kabla ya kuingia uwanjani, na huwa wanadai Mungu wao ana nguvu kuliko Mizimu yetu!!!Jana Wydad kakalishwa bao 1 nyumbani na Gwaneng Galaxy, viongozi na vyombo vya habari wamelalamika kuwa wa Bostwana hao wametumia mitishamba kuwafunga, wamedai haukuwa mchezo wa kawaida, wachezaji wao walikuwa wazito sana, pasi haziendi, magoli hayaingii, nimesikitika sana kweli Wydad timu kubwa ya afrika kulalamika kitoto namna hii, na nyie fanyeni tena nyie mna Kitabu kabisa ambacho ni suluhisho la matatio duniani.Piga kitabu cha maana muue ndumba hizo.
Mliofungwa 5 1 na utopolo kazi mnayo
ahaàaaaKwani si huwa wanaswali kabla ya kuingia uwanjani, na huwa wanadai Mungu wao ana nguvu kuliko Mizimu yetu!!!
Waambieni NA BADO, kuna siku watakimbia uwanjani, pumbavu kabisa hao.