Mwanangu katika Mapenzi watu waume kwa wake wanafanya makosa makubwa sana pale mnapoachana halafu mnakuja kurudiana
Mwanangu Duniani wapo wanawake/wanaume wenye sifa nzuri na kila unalohitaji wewe
Mwanangu ukiachana na Mwanamke Halafu Mkarudiana unakaribisha Dharau Ndani ya penzi na ni jambo ambalo Halitakiwi ili Penzi Limee
Mwanangu kila mwanamke unayekutana naye katika Maisha yako ni Funzo sasa jaribu kujifunza kwa Makosa uliyoyafanya Ukiwa Naye na utulie utafute mwingine utakayeridhika naye halafu uishi naye na kutokurudia Makosa ya Awali
Mwishowe Mwanangu Usirudie Matapishi na Mimi Nakutakia Bahati Njema