adden JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 7,033 Reaction score 15,638 Aug 3, 2016 #1 Kuendelea kuwa na mawasiliano na Mpenzi wako wa zamani ni sawa na kutembelea muwa kama fimbo, ipo siku utautafuna tu.... Ni mtazamo tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuendelea kuwa na mawasiliano na Mpenzi wako wa zamani ni sawa na kutembelea muwa kama fimbo, ipo siku utautafuna tu.... Ni mtazamo tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
M msugu pwigite Member Joined Aug 1, 2016 Posts 54 Reaction score 36 Aug 3, 2016 #2 Iweeee ikweliii iweeee
Mustaphagentleman JF-Expert Member Joined Jun 22, 2016 Posts 3,953 Reaction score 3,022 Aug 3, 2016 #3 Ni kweli maana atapata Hamu na atakwambia umpe Mkuno ndo mana me nikisha break up na mtu ctaki mawasiliano na mtu
Ni kweli maana atapata Hamu na atakwambia umpe Mkuno ndo mana me nikisha break up na mtu ctaki mawasiliano na mtu
Mkude mjita Member Joined Jan 24, 2015 Posts 7 Reaction score 0 Aug 6, 2016 #4 hata nyani akija mjn ipo siku atakumbuka pori lake