X (Twitter) imefungiwa?

X (Twitter) imefungiwa?

Forgotten

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,518
Reaction score
10,839
Watumiaji wa X (Twitter) mliopo JF, naomba kujua X kwenye vifaa vyenu mnaipata bila matatizo? Kwenye simu yangu tokea mchana wa leo X haifunguki: kwenye app na web.

Nimejaribu kutumia Proxy Server (United States) kwenye web imefunguka, nikajaribu tena kwa mtandao wa ISP (Halotel) haifunguki.
 
Itakuwa kwako tu...

Screenshot_20240830_165637_X.jpg
 
Kwangu haifunguki, nimejaribu mara ya pili sasa imegoma ndio nikajua kina Mwamposa wameshafanya yale maombi yao feki na kusikiwa na shetani akamtendea.

Now, hata FB na Instagram nazo hazifunguki.
 
Watumiaji wa X (Twitter) mliopo JF, naomba kujua X kwenye vifaa vyenu mnaipata bila matatizo? Kwenye simu yangu tokea mchana wa leo X haifunguki: kwenye app na web.

Nimejaribu kutumia Proxy Server (United States) kwenye web imefunguka, nikajaribu tena kwa mtandao wa ISP (Halotel) haifunguki.
Inawezekana, cha msingi kama unaweza ipata kwa njia mbadala wanajisumbua wenyewe
 
Watakuwa wameipunguza speed kuna aina mbili ya ufungaji total ban.... na kupunguza speed ya mtandao husika ......ili kuleta kero na kupunguza watumiaji

Total ban huwa wanafunga ubaya ubwela kila mtu kwao kama walivyofanga clubhouse ubaya ubwela tanzania haishika hadi vpn
 
Back
Top Bottom