X wake kivingiine!!!

[QUOTE=Lizzy;1787025]Umeongea nae ukajua kwanini alikudanganya kwamba hata kuwasiliana nae hataki huku anafanya kinyume cha alichosema??Usirukie kutaka ushauri kabla hujajua tatizo!Inawezekana huyo mwanaume anamsumbua..yani anamtaka kwahiyo amefanya hivyo ili ndoa isiharibike.Au hata anamtukana ila hataki kukuhusisha!Hizi zote ni assumption..nakushauri utafute jinsi ya kumuuliza mkeo taratibu ili akwambie kulikoni.[/QUOTE]

Walionana wapi mpaka kukubali kupeana namba na kuificha kwa jinsia nyingine? Amuulize kama it' ok kwake kuendelea kuwasilaiana na X-G wake pia. Asijekuwa yeye ni mkali hataki kusikia mambo ya X-G wa mmewe kumbe yeye anayo namba ya X-B wake. Situation kama hiyo inapunguza trust iliyopo katika ndoa ni kama kuna mambo mengi yasiyo mazuri yanafanyika mwenzi wako hakwambii. Kwa ujumla inaleta mashaka kwenye Mahusiano. Nilishakataa mambo ya X-G kwenye misamiati yangu maana ni baraha tupu. Yanini nimtie presure wife kwa mambo yasiyokuwa na tija kwenye ndoa. Unapungukiwa na nini ukikata mawasiliano na X wako?
 
pole sana mkuu nakushauri badilisha namba za mkee kisha fatilia kwa makini
 
Mkuu Pole sana, Hapa kuna kitu kinaendelea baina yao, Huenda X anatumika kuziba mapungufu yako na mke wako, Kuna wengine X ANAKUWA MSHAURI MKUU,anapogombana na mume/mke anatafuta Faraja kwa X. Na kama alikuwa na Perception kwamba X anacare sana basi , Hata ushauri kwenye mambo ya nyumbani kwenu hutatoka kwa X. Na kama kwenye mambo ya unyumba hujaweza kuziba nafasi ya X, LAZIMA ATATAFUTWA TU ili aweze kufanya kazi yake sawasawa.
 
Hata kama ni hivyo au la lkn kuna watu wazima wenye heshima zao, msifanye JF ya wahuni ktk maongezi ila jaribuni kutoa ushauri ambao utaleta tija kwa swali alilouliza ndg yetu.
Naungana na Lizzy kuwa ni vema uongee nae kwanza kabla hujachukua uamuzi wa haraka kwa kusikiliza ndg Chwechwe, kuwa mke si mwaminifu.
Km unamashaka nae basi kwanza uwe mume mwema kuliko siku zoteza nyuma, pili, chukua hatua ya kumtoa out mkeo mara kwa mara huku ukimtega, kupitia kwa majamaa au dada zako wenye siri au hata majirani , japo usiwaambie jirani kinachoendelea, ila kuwa nao karibu pia ili km kuna jambo baya utayasikia tu.
najua wazi unampendamkeo kuliko tunavyo wezaa sema cc tuliombali na wewe, mpe muda mkeo mwambie ww c hawala kwangu ila ni mke tunajenga mwaisha c vinginevyo kwahiyo nakupenda nimesamehe yote ila jaribu kuondoa cm namba na pia jaribu kukriate safari za hapa na pale ujuwe nini anakiwazia, kama kipo atamtafuta kisha utajua ''mapenzi ni kikohazi utajua kunamgonjwa wa kifua cha mapenzi kati yenu.
Reargads: wana JF wote.
 
Reactions: Mbu
tayari.....halua haina kipolo kaka stuka!
 

...kuwa mpole, mpe support mkeo. mfariji na umweke karibu.
Mwelezee madhara ya mawasiliano yake na ex-wake.

...Mwambie ukweli ni jinsi gani imekuuma kiasi ya wewe kufuatilia ukweli,
na hayo uliyoyagundua.

...Mwambie ukweli Umeumia sana, na alivyopunguza uaminifu wake kwako.
Mwambie Ukweli kwa mwenendo huo mnaiweka ndoa yenu mashakani...

...Utaweza kuyatekeleza na kumwambia mkeo haya?
Jaribu leo, jaribu ukiwa tayari. Wengi tulipitia haya,
weye sio wa kwanza.

Kila la heri.
 

Hizi entertainment hizi..,zinaniboa mpaka basi...!! kwanini uolewe wakati bado unahisia kwingine..,fasheni eeehh,tunakoelekea huko sio kuzuri hata kidogo..
 
pole sana mkuu nakushauri badilisha namba za mkee kisha fatilia kwa makini

...huo ni wajibu wa mke, kusitisha/kuendeleza mawasiliano. kama mke ameamua usaliti, hata akinyang'anywa simu haitosaidia kutowasiliana.

mjomba! :A S check_03::censored::A S check_03: mkeo kirahisi.

...Lugha haipendezi kabisa kaka. Haipendezi hata kidogo.
Badilika bana.
 

We kilichokufanya ukague simu ya mkeo kitu gani?
 
Usikague tena simu ya mkeo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…