technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Wanawake wa Sasa Wana shida ? X-wangu watatu Sasa hawaolewi walileta swaga za kuweka masharti magumu nikazengua Sasa wanateseka wamezeeka kabisa mmoja yupo35 Kama yupo 50
Mwingine yupo 33 Kama 45 na
mwingine yupo 30 wote kwa kipindi tofauti walileta uzungu kwenye mahusiano lakini Nina miaka 8 nimeoa mpaka leo wao wapo tu wanateseka
Mmoja jana kanipigia tumeonana duh yaani ni majonzi pamoja na kufanya kazi serikalini ila hana nuru kabisa kachoka!!
Ushauri wanawake oleweni early 22-25 mkizeeka mnatia huruma Sana !!
Mwingine yupo 33 Kama 45 na
mwingine yupo 30 wote kwa kipindi tofauti walileta uzungu kwenye mahusiano lakini Nina miaka 8 nimeoa mpaka leo wao wapo tu wanateseka
Mmoja jana kanipigia tumeonana duh yaani ni majonzi pamoja na kufanya kazi serikalini ila hana nuru kabisa kachoka!!
Ushauri wanawake oleweni early 22-25 mkizeeka mnatia huruma Sana !!