technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Nyie simnasema wanawake wa kikobazi wanaolewa mapema wakiwa wadogo, mnashindwa wanawake wanawai kuzeekaWanawake wa Sasa Wana shida ? X-wangu watatu Sasa hawaolewi walileta swaga za kuweka masharti magumu nikazengua Sasa wanateseka wamezeeka kabisa mmoja yupo35 Kama yupo 50
Mwingine yupo 33 Kama 45 na
mwingine yupo 30 wote kwa kipindi tofauti walileta uzungu kwenye mahusiano lakini Nina miaka 8 nimeoa mpaka leo wao wapo tu wanateseka
Mmoja jana kanipigia tumeonana duh yaani ni majonzi pamoja na kufanya kazi serikalini ila hana nuru kabisa kachoka!!
Ushauri wanawake oleweni early 22-25 mkizeeka mnatia huruma Sana !!
Wengi wa umri huo huwa wanaendekeza u 'slay queen' kwanza hadi wanajikuta wapo nje ya wakati..Ushauri wanawake oleweni early 22-25 mkizeeka mnatia huruma Sana !!
Sasa kwa nini hukumgegeda mwanawane...huyo ulivyokutana nae alikuwa anataka umgegedeWanawake wa Sasa Wana shida ? X-wangu watatu Sasa hawaolewi walileta swaga za kuweka masharti magumu nikazengua Sasa wanateseka wamezeeka kabisa mmoja yupo35 Kama yupo 50
Mwingine yupo 33 Kama 45 na
mwingine yupo 30 wote kwa kipindi tofauti walileta uzungu kwenye mahusiano lakini Nina miaka 8 nimeoa mpaka leo wao wapo tu wanateseka
Mmoja jana kanipigia tumeonana duh yaani ni majonzi pamoja na kufanya kazi serikalini ila hana nuru kabisa kachoka!!
Ushauri wanawake oleweni early 22-25 mkizeeka mnatia huruma Sana !!
Duh wao ndio kikwazo kwenye utambulisho wanaume hawanaga shida kabisa labda mwanaume awe kaoa mke mingine kabla hapo ndio uwa mwanamme anarukaNadhani Watu wengi wanatatizo la kufanya maamuzi hapa nchini.
Unakuta mdada ana date na mtu for 4 - 5 years, Na hakuna kutambulishana wala mpango ya ndoa, kuja kushtuka jamaa anaoa mtu mwingine.
Uchumba mwisho miaka 2, unless otherwse jamaa awe kajitambulisha kwenu na viposa vya hapa na pale
KutojitambuaWengi wa umri huo huwa wanaendekeza u 'slay queen' kwanza hadi wanajikuta wapo nje ya wakati..
Nataka kuolewa, ila nataka nieendelee na uhuru wangu
Ntaka niolewe lakini niendelee kuwa na uhuru wangu! Nina mchumba wangu ambaye Mungu akipenda, mwezi huu mwishoni tunafunga ndoa. Hata hivyo, nimeshaanza kuogopa. Sio kwamba ananifanyia kitu kibaya au ni mtu mbaya, hapana, lakini kuna mambo yanatokea ambayo sijayapendi. Mchumba wangu ni daktari...www.jamiiforums.com
Wengi wa umri huo huwa wanaendekeza u 'slay queen' kwanza hadi wanajikuta wapo nje ya wakati..
Nataka kuolewa, ila nataka nieendelee na uhuru wangu
Ntaka niolewe lakini niendelee kuwa na uhuru wangu! Nina mchumba wangu ambaye Mungu akipenda, mwezi huu mwishoni tunafunga ndoa. Hata hivyo, nimeshaanza kuogopa. Sio kwamba ananifanyia kitu kibaya au ni mtu mbaya, hapana, lakini kuna mambo yanatokea ambayo sijayapendi. Mchumba wangu ni daktari...www.jamiiforums.com
Nikonect na huyo wa 33.Wanawake wa Sasa Wana shida ? X-wangu watatu Sasa hawaolewi walileta swaga za kuweka masharti magumu nikazengua Sasa wanateseka wamezeeka kabisa mmoja yupo35 Kama yupo 50
Mwingine yupo 33 Kama 45 na
mwingine yupo 30 wote kwa kipindi tofauti walileta uzungu kwenye mahusiano lakini Nina miaka 8 nimeoa mpaka leo wao wapo tu wanateseka
Mmoja jana kanipigia tumeonana duh yaani ni majonzi pamoja na kufanya kazi serikalini ila hana nuru kabisa kachoka!!
Ushauri wanawake oleweni early 22-25 mkizeeka mnatia huruma Sana !!
πππKuoa mwanamke mwenye 27+ ni kumuokoa
AiseeWanawake wa Sasa Wana shida ? X-wangu watatu Sasa hawaolewi walileta swaga za kuweka masharti magumu nikazengua Sasa wanateseka wamezeeka kabisa mmoja yupo35 Kama yupo 50
Mwingine yupo 33 Kama 45 na
mwingine yupo 30 wote kwa kipindi tofauti walileta uzungu kwenye mahusiano lakini Nina miaka 8 nimeoa mpaka leo wao wapo tu wanateseka
Mmoja jana kanipigia tumeonana duh yaani ni majonzi pamoja na kufanya kazi serikalini ila hana nuru kabisa kachoka!!
Ushauri wanawake oleweni early 22-25 mkizeeka mnatia huruma Sana !!
Mkuu kama hawa wanaopitia chuo si wanaolewaga kule vyuoni. Mtu anaishi na mwanaume from first 1 mpaka 3rd yrs. Ndio maana vijana wengi now days wakisha kula hawarudi nyumaNadhani Watu wengi wanatatizo la kufanya maamuzi hapa nchini.
Unakuta mdada ana date na mtu for 4 - 5 years, Na hakuna kutambulishana wala mpango ya ndoa, kuja kushtuka jamaa anaoa mtu mwingine.
Uchumba mwisho miaka 2, unless otherwse jamaa awe kajitambulisha kwenu na viposa vya hapa na pale