Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
-
- #41
Ebana ilikukuta wewe live mzeeeπ³π³π³Kataa hiyo mimba hata kama mtoto akizaliwa anafanana na wewe mkatae kabisa. Mimi iliwahi ni kuta hiyo varangati nikalea mimba mtoto kaja ni copy yangu full, na lea weweeh lea mpaka chali akakua ila DNA ilikuja kuamua siyo mwanangu baada ya mama yake kujiroposha roposha hovyo.
Nb: yule mwanamke ni mpumbavu sana angepiga kimnya nisingejuaga maisha
Watu mnaroho mbaya saanaPole sana huyo ex anazidi kuprove ni jinsi gani bado una uzuzu mkuu kichwani mwako.
Mtu ana mimba wanini? Mwanamke akishamzalia mwanaume mwingine hata kama nilikuwa nampenda sana ndio bye bye sina muda nae.Watu mnaroho mbaya saana
ππJamani ama mm sijui kusoma mara kakuta dem anatumbo kubwa mara akaombwa wapashe kiporo mara tena mimba anahisi yake nimevurugwa sijaelewa
Binafsi mm ndo nilifanya jitihada nikafanikiwa kumuachaMtu ana mimba wanini? Mwanamke akishamzalia mwanaume mwingine hata kama nilikuwa nampenda sana ndio bye bye sina muda nae.
Achana naeBinafsi mm ndo nilifanya jitihada nikafanikiwa kumuacha
Uchawi upo, halafu wamakonde kwenye malimbwata kumgeuza mtu zuzu ni dakika....huyu kashakaa kwenye line.Nimesikitika sana hasa hapo uliposema mimba inafanana na ww ht kabla mtoto hajazaliwa
DNA mpaka mimba inapima?Si mkapime DNA ili mjue mimba ni ya nani?
Mkuu mtoto copy yako kabisa na sio wako? Inawezekana hii kumbe?? kibaiolojia imepitishwa hii??Kataa hiyo mimba hata kama mtoto akizaliwa anafanana na wewe mkatae kabisa. Mimi iliwahi ni kuta hiyo varangati nikalea mimba mtoto kaja ni copy yangu full, na lea weweeh lea mpaka chali akakua ila DNA ilikuja kuamua siyo mwanangu baada ya mama yake kujiroposha roposha hovyo.
Nb: yule mwanamke ni mpumbavu sana angepiga kimnya nisingejuaga maisha
Tumia akili mjomba, yani hanaga hisia na huyo jamaa zaidi yako? π€£π€£π€£ so mimba iliingia kwa uwezo wa roho mtakatifu au BluetoothWasalaam,
Mida ya leo usiku nilipotoka job nikaamua kupita kumuona X wangu nyumbani kwao kwani alidai anaumwa na alikua nikidhani akintania ana mimba isiyo na baba π
Aiseeh ile kufika kweli naona anabonge la tumbo nikashangaa, ila nikasema sio kesi kwakua si yangu ngoja nifike tuu kwao ni msalimie ma mkwe X, alipo niona alifurahi saana maana ananijua.
Dear X bana akanieleza kwamba aliyempa mimba ni mme wa mtu ambaye ni kama alidhamiria kufanya hivo ikiwa yeye hataki na hata alipojaribu kuitoa ili goma, ikawa na yeye jamaa pamoja na kuitwa na wazazi aligoma kushiriki utoaji mimba.
Ananiambia hayupo tayari kulala na huyo jamaa zaidi yangu na anapata amani saana na mimi kuliko huyo jamaa, alitamani kubeba mimba yangu sema mm nilikua mkali namnyesha P2 na nilimpiga biti akishika ujaozito tuu mi na yeye basi. Ikawa hivo mpaka nilipo muacha nikawa na demu mwingine, kitu ambacho hakukubali alikua tayar kua side chick
Utata unakuaja hapa alikua anafosi saana na kuniomba tupashe kiporo kwakua kwa huyo jamaa (mume wa mtu) ni kisukari tupu na ashazoea moto wangu.
Sasa kwakua mtoto wa kimakondo ni fundi sijawahi ona nikapasha nae ka mara mbili hivi, na nilikua napiga kavu mara zote aliniambia yupo kwenye safe days hawezi pata mimba.
Shida inakuja umri wa mimba unaangukia kipindi tulipasha kiporo na wakati huo huyo jamaa yake alidai alisafiri wana mda hakukutana kimwili.
Je, hii mimba kwa mazingira haya si yangu kweli? Si kwamba ameamua kunibebea kwa nguvu (na kumpa mme wake) alafu nitajua mbele kwa mbele maana ananiambia angeweza kuniroga angeniroga ikiwezekana mnyama mnyamwezi asifanye kazi kwa demu yeyeto ila yeye tuu.
Naomba nijue.... nami niamue nn juu ya damu yangu. Ahsante
Hiyo ni mimba yako kabisa mkuu, yule jamaa tulisafiri wote kweli hakuwepo kipindi unapasha na demu hakuwa safe.Wasalaam,
Mida ya leo usiku nilipotoka job nikaamua kupita kumuona X wangu nyumbani kwao kwani alidai anaumwa na alikua nikidhani akintania ana mimba isiyo na baba π
Aiseeh ile kufika kweli naona anabonge la tumbo nikashangaa, ila nikasema sio kesi kwakua si yangu ngoja nifike tuu kwao ni msalimie ma mkwe X, alipo niona alifurahi saana maana ananijua.
Dear X bana akanieleza kwamba aliyempa mimba ni mme wa mtu ambaye ni kama alidhamiria kufanya hivo ikiwa yeye hataki na hata alipojaribu kuitoa ili goma, ikawa na yeye jamaa pamoja na kuitwa na wazazi aligoma kushiriki utoaji mimba.
Ananiambia hayupo tayari kulala na huyo jamaa zaidi yangu na anapata amani saana na mimi kuliko huyo jamaa, alitamani kubeba mimba yangu sema mm nilikua mkali namnyesha P2 na nilimpiga biti akishika ujaozito tuu mi na yeye basi. Ikawa hivo mpaka nilipo muacha nikawa na demu mwingine, kitu ambacho hakukubali alikua tayar kua side chick
Utata unakuaja hapa alikua anafosi saana na kuniomba tupashe kiporo kwakua kwa huyo jamaa (mume wa mtu) ni kisukari tupu na ashazoea moto wangu.
Sasa kwakua mtoto wa kimakondo ni fundi sijawahi ona nikapasha nae ka mara mbili hivi, na nilikua napiga kavu mara zote aliniambia yupo kwenye safe days hawezi pata mimba.
Shida inakuja umri wa mimba unaangukia kipindi tulipasha kiporo na wakati huo huyo jamaa yake alidai alisafiri wana mda hakukutana kimwili.
Je, hii mimba kwa mazingira haya si yangu kweli? Si kwamba ameamua kunibebea kwa nguvu (na kumpa mme wake) alafu nitajua mbele kwa mbele maana ananiambia angeweza kuniroga angeniroga ikiwezekana mnyama mnyamwezi asifanye kazi kwa demu yeyeto ila yeye tuu.
Naomba nijue.... nami niamue nn juu ya damu yangu. Ahsante
Baba junia, junia hajambo?Wasalaam,
Mida ya leo usiku nilipotoka job nikaamua kupita kumuona X wangu nyumbani kwao kwani alidai anaumwa na alikua nikidhani akintania ana mimba isiyo na baba π
Aiseeh ile kufika kweli naona anabonge la tumbo nikashangaa, ila nikasema sio kesi kwakua si yangu ngoja nifike tuu kwao ni msalimie ma mkwe X, alipo niona alifurahi saana maana ananijua.
Dear X bana akanieleza kwamba aliyempa mimba ni mme wa mtu ambaye ni kama alidhamiria kufanya hivo ikiwa yeye hataki na hata alipojaribu kuitoa ili goma, ikawa na yeye jamaa pamoja na kuitwa na wazazi aligoma kushiriki utoaji mimba.
Ananiambia hayupo tayari kulala na huyo jamaa zaidi yangu na anapata amani saana na mimi kuliko huyo jamaa, alitamani kubeba mimba yangu sema mm nilikua mkali namnyesha P2 na nilimpiga biti akishika ujaozito tuu mi na yeye basi. Ikawa hivo mpaka nilipo muacha nikawa na demu mwingine, kitu ambacho hakukubali alikua tayar kua side chick
Utata unakuaja hapa alikua anafosi saana na kuniomba tupashe kiporo kwakua kwa huyo jamaa (mume wa mtu) ni kisukari tupu na ashazoea moto wangu.
Sasa kwakua mtoto wa kimakondo ni fundi sijawahi ona nikapasha nae ka mara mbili hivi, na nilikua napiga kavu mara zote aliniambia yupo kwenye safe days hawezi pata mimba.
Shida inakuja umri wa mimba unaangukia kipindi tulipasha kiporo na wakati huo huyo jamaa yake alidai alisafiri wana mda hakukutana kimwili.
Je, hii mimba kwa mazingira haya si yangu kweli? Si kwamba ameamua kunibebea kwa nguvu (na kumpa mme wake) alafu nitajua mbele kwa mbele maana ananiambia angeweza kuniroga angeniroga ikiwezekana mnyama mnyamwezi asifanye kazi kwa demu yeyeto ila yeye tuu.
Naomba nijue.... nami niamue nn juu ya damu yangu. Ahsante
Mwamba umetishaSema tunatofautiana sana; yaani mwanamke amelala na wanaume wengine hadi akapata ujauzito lakini bado amekukamata, umeshindwa kumuacha hadi unakuja kuomba ushauri hapa!