crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
Usajili bora kabisa, lakini naona hawakuwa sawa kumpa timu Xavi, ile ilikuwa ni sawa na kubeti. Xavi ilibidi apate muda kuanzia timu za chini kwenye ligi shindani taratibu kama anavyofanya Gerard pale Aston Villa.
Barcelona ni timu kubwa, inahitaji makocha wenye uzoefu wa kuendelea kuiweka juu na siyo kupima viwango vyao. Conte na Klopp wanafanya kazi kubwa sana pale EPL.Yaani kikosi cha kwanza kikiwa uwanjani (Liverpool na Tottenham), huoni mtu wa kubadilisha matokeo kutokea bench, lakini bado timu zinafanya vizuri.
Nitawaona wajinga kama Liverpool na Tottenham zitawaacha hawa jamaa, na sizani kama zitainuka tena. Hawa ni miongoni mwa watu wanaoiweka juu EPL na pongezi wanastahili.
Barcelona ni timu kubwa, inahitaji makocha wenye uzoefu wa kuendelea kuiweka juu na siyo kupima viwango vyao. Conte na Klopp wanafanya kazi kubwa sana pale EPL.Yaani kikosi cha kwanza kikiwa uwanjani (Liverpool na Tottenham), huoni mtu wa kubadilisha matokeo kutokea bench, lakini bado timu zinafanya vizuri.
Nitawaona wajinga kama Liverpool na Tottenham zitawaacha hawa jamaa, na sizani kama zitainuka tena. Hawa ni miongoni mwa watu wanaoiweka juu EPL na pongezi wanastahili.