Xavier na David wakali wa memes

Xavier na David wakali wa memes

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Xavier huyu Jina lake halisi ni Pakalu Papito ukimcheki Facebook utaona wasifu wake, alivyojiunga Twitter mara ya kwanza tu akapost hello Twitter am single, sifa yake kubwa ni ubishi.

David na yeye picha yake imekuwa maarufu sana kwenye mitandao.

images (8).jpeg
 
nimesoma hadi ulipoandika 'alivyojiungaga'
mkuu jielimishe kidogo kuhusu lugha sahihi kabla ya kuleta bandiko hapa
 
Back
Top Bottom