Reuben Challe
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 2,940
- 5,511
Xiaomi wameachilia chombo cha Xiaomi 12S Ultra ilipofika July, 09, 2022
Simu hii imeipita uwezo hata Samsung Galaxy S22 Ultra na bado kuna mtu humu nilimsikia anasema eti kwa Android simu ni Samsung na Google Pixel tu wakati hata Google Pixel 7 pro haifui dafu kwa Xiaomi 12S Ultra
Hiyo hapo ju ni Xiaomi 12S Ultra ikiwa na software yake kali ya MIUI 13. Kamera ya nyuma ina 50MP tu ila S22 Ultra na 108MP zake zote, amekalishwa chini
Hata specification zake zinatishia amani na display yake yenye mvuto ndo inanichanganya kabisa.
Iangalieni tena hiyo Xiaomi 12S Ultra, inatumia Qualcomm Snapdragon 8 Plus Gen 1, UNYAMA SANA
Ikumbukwe, Xiaomi hawahawa walitoa simu ya kwanza kuzungukwa na diplay kuanzia mbele, pembeni hadi nyuma na kufanya simu hiyo iwe na mwonekano wa kipekee tena wa kifahari, yaani wa kitajiri. Simu yenyewe inaitwa Xiaomi Mi Mix Alpha hiyo hapo chini
Achilia hiyo Xiaomi pia waliachilia simu kali tena ni flagship iliyo na screen ndogo kwa nyuma yaani Xiaomi Mi 11 Ultra
Bila kusahau Xiaomi wana foldable phones pia, yaani inakunjuka kama kitabu na unaweza kuitumia kama tablet. Simu zenyewe ni Xiaomi Mix Fold na Xiaomi Mix Fold 2. Xiaomi Mix Fold 2 ina depth ya 11.2mm tu ambayo ni nyembamba ukilinganisha na Samsung Galaxy Z Fold 4 ambayo ina 15.4mm. Xiaomi Mix Fold 2 hiyo hapo chini
Kwa simu mpya za TSh 300,000 hadi laki nne, Xiaomi ana chombo kimoja hivi, kinaitwa Xiaomi Redmi 10C ambayo ni TSh 340000 tu kwa 4GB+64GB Version na TSh 380000 tu kwa 4GB+128GB Version. Yaani hii ni simu ya laki tatu tu ila inatumia Qualcomm Snapdragon 680, wakati simu kibao za bei hii zimeng'ang'ana na chipset za MediaTek Helio G35, Helio P22, Helio G25 na takataka nyingine. Kuna Samsung Galaxy A03 na A04 kwa bei hiyo ila zote hizi ni uchafu tu mbele ya Xiaomi Redmi 10C. Kwanza hebu iangalie Xiaomi Redmi 10C yenyewe hii
Sitaki kumsikia tena mtu yeyote anayesema Xiaomi ni TECNO zilizochangamka
Simu hii imeipita uwezo hata Samsung Galaxy S22 Ultra na bado kuna mtu humu nilimsikia anasema eti kwa Android simu ni Samsung na Google Pixel tu wakati hata Google Pixel 7 pro haifui dafu kwa Xiaomi 12S Ultra
Hiyo hapo ju ni Xiaomi 12S Ultra ikiwa na software yake kali ya MIUI 13. Kamera ya nyuma ina 50MP tu ila S22 Ultra na 108MP zake zote, amekalishwa chini
Hata specification zake zinatishia amani na display yake yenye mvuto ndo inanichanganya kabisa.
Ikumbukwe, Xiaomi hawahawa walitoa simu ya kwanza kuzungukwa na diplay kuanzia mbele, pembeni hadi nyuma na kufanya simu hiyo iwe na mwonekano wa kipekee tena wa kifahari, yaani wa kitajiri. Simu yenyewe inaitwa Xiaomi Mi Mix Alpha hiyo hapo chini
Achilia hiyo Xiaomi pia waliachilia simu kali tena ni flagship iliyo na screen ndogo kwa nyuma yaani Xiaomi Mi 11 Ultra
Bila kusahau Xiaomi wana foldable phones pia, yaani inakunjuka kama kitabu na unaweza kuitumia kama tablet. Simu zenyewe ni Xiaomi Mix Fold na Xiaomi Mix Fold 2. Xiaomi Mix Fold 2 ina depth ya 11.2mm tu ambayo ni nyembamba ukilinganisha na Samsung Galaxy Z Fold 4 ambayo ina 15.4mm. Xiaomi Mix Fold 2 hiyo hapo chini
Kwa simu mpya za TSh 300,000 hadi laki nne, Xiaomi ana chombo kimoja hivi, kinaitwa Xiaomi Redmi 10C ambayo ni TSh 340000 tu kwa 4GB+64GB Version na TSh 380000 tu kwa 4GB+128GB Version. Yaani hii ni simu ya laki tatu tu ila inatumia Qualcomm Snapdragon 680, wakati simu kibao za bei hii zimeng'ang'ana na chipset za MediaTek Helio G35, Helio P22, Helio G25 na takataka nyingine. Kuna Samsung Galaxy A03 na A04 kwa bei hiyo ila zote hizi ni uchafu tu mbele ya Xiaomi Redmi 10C. Kwanza hebu iangalie Xiaomi Redmi 10C yenyewe hii
Sitaki kumsikia tena mtu yeyote anayesema Xiaomi ni TECNO zilizochangamka