Ina hardware nzuri, Full hd display, processor yenye nguvu, camera nzuri etc.Kwann wanarecommend hio redmi 9 mkuu?
Mi nimemnunulia mtu ni unlocked, labda wawe wamebadilisha wiki hiiWanauzaje promoshen halfu iwe unlooked? Ten kwa bei hiyo?
Msipelekane chaka
ndo bei ya hio simu, tena aliexpress unapata kwa 240,000 plus shipping, no taxWanauzaje promoshen halfu iwe unlooked? Ten kwa bei hiyo?
Msipelekane chaka
Sasa tigo manufaa kwao ni yepi???Kwa sasa simu zimetolewa ushuru , hivyo kwa recommendation ni bora uchukue simu kwa hao jamaa wa tigo maana simu zote kwao zimeshatolewa VAT na simu kubwa kama hiyo zipo unlocked na wanakupa warranty ya uhakika.
Tigo ni kampuni kubwa sana, hizo simu sio kwamba wanazinunua 10 ama 20, ni maelfu, obvious wanapewa bei nzuriSasa tigo manufaa kwao ni yepi???
Ila mkuu km kuna mtu hunifurahisha huku jf niwewe, huwa husiti kureply kwenye uzi wa mdau na comment yako huwa ni hii siku zote, "mleta mada kufuata miongozo".[emoji1][emoji16]Mleta mada fuata miongozo...
Redmi hawana verified supplier hapa bongo so itakuwa wana mkataba na Tigo kuwasaidia kuuza simu zao.Wanauzaje promoshen halfu iwe unlooked? Ten kwa bei hiyo?
Msipelekane chaka
Mkuu hazina shida ndio naitumia hapa.. chukuaNmeona offer ya Hizi simu zikiwa znauzwa maduka ya tigo,na nmevutiwa nazo kweli. sasa hofu yangu ni kwamba zinaweza zikawa locked, yaan line ya Tigo ndo inakua na nguvu tu, japo kuna mdau kaniambia kuna possibility kuwa line zote znafunction bila kikwazo..
Ombi langu ni kwa yeyote ambaye amewahi tumia simu hizi za tigo atuwekee mrejesho basi ili tuwe huru kununua kitu safi kutoka Tigo.
View attachment 2065317
Hacha uongo wewe, mi simu ya kwanza kuagiza ni redmi 4a kipindi kile zinatoka hadi leo nimemuachia dogo anatumia, hapa natumia redmi note 7 na haijawai kuzingua miaka kadhaa sasa.Usinunue hizo simu.
Redmi series zote zina matatizo ya hardware hata kampuni yao walishasema hilo.
Kwakuongezea tu nimeshatumia hiyo redmi 9 na ni kimeo kizuri tu.mwanzoni utaifurahia,subiri ukaekae nayo kwanzia mwaka hivi utaona maudhi yake!
Hii ninayoitumia haina shida laini yeyote inakubali na mtandao full full hakuna tatizo. Kanunue kama uwezo upo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji8]Nmeona offer ya Hizi simu zikiwa znauzwa maduka ya tigo,na nmevutiwa nazo kweli. sasa hofu yangu ni kwamba zinaweza zikawa locked, yaan line ya Tigo ndo inakua na nguvu tu, japo kuna mdau kaniambia kuna possibility kuwa line zote znafunction bila kikwazo..
Ombi langu ni kwa yeyote ambaye amewahi tumia simu hizi za tigo atuwekee mrejesho basi ili tuwe huru kununua kitu safi kutoka Tigo.
View attachment 2065317
Usilete hisia.mimi sio muuzaji simu.Hacha uongo wewe, mi simu ya kwanza kuagiza ni redmi 4a kipindi kile zinatoka hadi leo nimemuachia dogo anatumia, hapa natumia redmi note 7 na haijawai kuzingua miaka kadhaa sasa.
Labda useme mtk ila huwezi zifananisha na tecno unazouza nyie subirini tu mtolewe sokoni