Xiaomi wazindua the fastest charging phone around

Bwana Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2019
Posts
653
Reaction score
3,404
Kampuni ya electronics, XIAOMI, Imezindua simu mpya ( Xiaomi Mi 10 Ultra) yenye 4,500 mah battery inayoweza kwenda 0% to 100% charge ndani ya dakika 20 tu ikitumia official charger ya watts 120 πŸ”₯

Pia simu hiyo ina support 50 watts wireless charging ambapo itatumia 40 minutes pekee kujaa

Simu hiyo pia imepewa marks kubwa zaidi ya camera zake na mtandao wa DXOMARK, ikiwa na kamera inayoweza zoom 120 times (120X zoom) ikiipita Galaxy S20 Ultra iliyokuwa ikishikiria rekodi ya 100X zoom

 
Kiukweli xiaomi wana simu nzuri mno zina uwezo wa hali ya juu.. shida ni kwamba hazipatikani hapa nchini, labda uagize nje.. hapa nina Redmi 8A iko poa sana....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…