Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
hahahahahaLazima tulewe maana Bia tamu
omicron????Niko hapa kwa udhamini wa omicron
Kwani uzi wako unasemaje?? Ndio omicron ndo kanifanya nitype ktk uzi huuomicron????
ohoIta Bebe [emoji39]
Hamnywi bia, viwanja hamuendi, hamna hata madem wa kuchakata, basi nendeni mkesha[emoji23][emoji23][emoji23]Kwasisi ambao xmas hii hatuna michongo 2po2po bia hatunywi viwanja ha2endi tujuane
labda tutaokota madini kwa ambao washapanga timetable yao
mtupe mawazo kidogo.
hahahahah!Hamnywi bia, viwanja hamuendi, hamna hata madem wa kuchakata, basi nendeni mkesha[emoji23][emoji23][emoji23]