Xpeng Motors wamezindua P7+ Electric Sedan: World first AI car

Xpeng Motors wamezindua P7+ Electric Sedan: World first AI car

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Kampuni ya magari kutoka China, Xpeng Motors, baada ya kufanya teaser kwa muda mrefu, hatimaye wamezindua P7+ EV leo tarehe 10 October.

IMG_0362.jpeg
Leo wakati wa uzinduzi, Xpeng walisema P7+ ni “World’s first AI car” na mauzo yataanza tar 14 mwezi huu October ila delivery itaanza November.

IMG_0360.jpeg
P7+ ina battery la (LFP) 60 kWh au 76 kWh inayokupa range ya 620 km au 710 km.

IMG_0361.jpeg
Design ya P7+ kwa nje iko sleek na imezingatia aerodynamics kupunguza wind resistance na Xpeng wanasema itakua na electric consumption ya 11.6 kWh kwa 100 km, ambayo kwa simple mathe ni kama 8.5 km/Kwh (unit) yaani unit moja ya umeme ya Tsh 360 unatembea kilometa 8.5!!!

IMG_0358.jpeg
Kwa ndani, kuna infotainment screen ya 15.6 inch, 2-spoke steering wheel, gear leaver ipo pembeni ya steering wheel na nyuma yake kuna cluster gauge ya LCD, pia iko na Eagle Eye autonomous driving system.

IMG_0359.jpeg
Kwa seat ya nyuma, kuna 8 inch screen na seat zina massage, na kuna meza ya kukunja.

IMG_0363.jpeg
Bei bado hawajatangaza officially, tunategemea kujua tar 14 mwezi huu kwenye Paris Auto Show (unyama upo hapa, usikose tutakua Live)
 
Shida ya magari ya umeme ni gharama sana kuyanunua.

Shida namba mbili magari ya China utalazimika kununua brand new.

Tunaweza kuishia kuwa wafuatiliaji tu ila the real beneficiaries watakuwa first world countries 🥹
Ulichosema ni kweli. Kwa sasa gharama kutanunua kwasababu used market hazijawa flooded na magari ya umeme.
 
Hivi wadau wanasemaje kuhusu durability na maintenance costs za EVs
Maintenance ya EV ni ndogo zaidi ya mara 10 ukifananisha na gari la engine.

Sababu kubwa ni kua EV ina moving parts chache, mfano haina engine wala haina gear box. Kwahiyo vitu kama Oil, ATF, belt za ajabu ajabu haina kubadirisha.

Brake zake pia zinadumu zaidi kwasababu ya regenerative braking.

Durability kwa upande wa battery, ina dumu sana. Zipo Mode S zinatembea na battery likiwa 80% na ina zaidi ya kilometa 300,000 kwenye odo.

Watu wanaogopa gharama za kubadirisha battery, lakini battery la EV sio kama la simu. Linaundwa kwa cells /packs ambazo unaweza kuibadirisha ile tu ambayo imekufa.

Na mwisho, magari ya 2020 kuja juu yame improve sana battery kwa kuongeza efficiency, density na development of heat-pump inayopunguza joto kwenye battery kulifanya lidumu zaidi.

Ni rahisi sana haya magari kufikisha odo ya kilometa 500,000.
 
Maintenance ya EV ni ndogo zaidi ya mara 10 ukifananisha na gari la engine.

Sababu kubwa ni kua EV ina moving parts chache, mfano haina engine wala haina gear box. Kwahiyo vitu kama Oil, ATF, belt za ajabu ajabu haina kubadirisha.

Brake zake pia zinadumu zaidi kwasababu ya regenerative braking.

Durability kwa upande wa battery, ina dumu sana. Zipo Mode S zinatembea na battery likiwa 80% na ina zaidi ya kilometa 300,000 kwenye odo.

Watu wanaogopa gharama za kubadirisha battery, lakini battery la EV sio kama la simu. Linaundwa kwa cells /packs ambazo unaweza kuibadirisha ile tu ambayo imekufa.

Na mwisho, magari ya 2020 kuja juu yame improve sana battery kwa kuongeza efficiency, density na development of heat-pump inayopunguza joto kwenye battery kulifanya lidumu zaidi.

Ni rahisi sana haya magari kufikisha odo ya kilometa 500,000.
Kwa maelezo haya ningekuwa na hela ningenunua moja hata kesho.

PS: Fikiria kufungua YouTube channel, inaweza kuwa side hustle.
 
Naomba kujuzwa hv hyo mileage inakuwa imezingatia miinuko, maana haya magar tuliyoyazoea nadhan mileage/litre huwa inapungua kulingana na geography ya eneo.
 
Naomba kujuzwa hv hyo mileage inakuwa imezingatia miinuko, maana haya magar tuliyoyazoea nadhan mileage/litre huwa inapungua kulingana na geography ya eneo.
Umetisha mkuu.

Ukiona range ya EV umepewa, angalia aina ya range walio-claim, ni either EPA au WLTP na China wanayonyao CLTC range.

WLTP range (Worldwide Harmonised Light Vehicles Test Procedure) ndio tests zinafanyika katika lab conditions (bila kujali temp change, miinuko wala nn) hii ni unrealistic na mara nyingi kuipata real range roughly multiply kwa 0.7 ndio utakadiria real range.

EPA range (Environmental Protection Agency) ndio unaowaonaga ata wanatest fuel economy za magari. Wanachofanya wanachukua gari na kuliendesha katika mazingira tofauti na hali tofauti na kutafuta averange. Hii mara nyingi inakuaga sawa na unayopata wewe.

CLTC (China Light Duty Vehicle Test Cycle) range hii inatumika China, na ipo kama y WLTP ila hii ndio unakuta inafanyika lab kabisa kwahiyo inakupa majibu makubwa sana kuliko real. Inakadiriwa CLTC inazidi 35% kutoka EPA.

China magari yao local wanapenda kutumia CLTC ila kama wana mpango wa kuexport wanatumia WLTP.

Tukirudi kwenye swali, izo nilizoweka nimeweka WLTP kwasababu EPA inatokana na user experience yaani mimi nikipata najaza kwenye website na ww unajaza na yule anajaza average itamsaidia mtu atakaetaja kujua efficiency.
 
huyu jamaa hii kitu anaiita x ina siri nzito sana, kuna siku mtakuja kuniambia.
 
Umetisha mkuu.

Ukiona range ya EV umepewa, angalia aina ya range walio-claim, ni either EPA au WLTP na China wanayonyao CLTC range.

WLTP range (Worldwide Harmonised Light Vehicles Test Procedure) ndio tests zinafanyika katika lab conditions (bila kujali temp change, miinuko wala nn) hii ni unrealistic na mara nyingi kuipata real range roughly multiply kwa 0.7 ndio utakadiria real range.

EPA range (Environmental Protection Agency) ndio unaowaonaga ata wanatest fuel economy za magari. Wanachofanya wanachukua gari na kuliendesha katika mazingira tofauti na hali tofauti na kutafuta averange. Hii mara nyingi inakuaga sawa na unayopata wewe.

CLTC (China Light Duty Vehicle Test Cycle) range hii inatumika China, na ipo kama y WLTP ila hii ndio unakuta inafanyika lab kabisa kwahiyo inakupa majibu makubwa sana kuliko real. Inakadiriwa CLTC inazidi 35% kutoi
Ahsante mkuu, so tungoje watu wayatumie ndo tupate review kama zile tunapataga amazon..
 
Kampuni ya magari kutoka China, Xpeng Motors, baada ya kufanya teaser kwa muda mrefu, hatimaye wamezindua P7+ EV leo tarehe 10 October.

Leo wakati wa uzinduzi, Xpeng walisema P7+ ni “World’s first AI car” na mauzo yataanza tar 14 mwezi huu October ila delivery itaanza November.

P7+ ina battery la (LFP) 60 kWh au 76 kWh inayokupa range ya 620 km au 710 km.

Design ya P7+ kwa nje iko sleek na imezingatia aerodynamics kupunguza wind resistance na Xpeng wanasema itakua na electric consumption ya 11.6 kWh kwa 100 km, ambayo kwa simple mathe ni kama 8.5 km/Kwh (unit) yaani unit moja ya umeme ya Tsh 360 unatembea kilometa 8.5!!!

Kwa ndani, kuna infotainment screen ya 15.6 inch, 2-spoke steering wheel, gear leaver ipo pembeni ya steering wheel na nyuma yake kuna cluster gauge ya LCD, pia iko na Eagle Eye autonomous driving system.

Kwa seat ya nyuma, kuna 8 inch screen na seat zina massage, na kuna meza ya kukunja.

Bei bado hawajatangaza officially, tunategemea kujua tar 14 mwezi huu kwenye Paris Auto Show (unyama upo hapa, usikose tutakua Live)
Waache kutengeneza unreliable car watatoboa,sio kutuwekea ma urembo mengi yasiyo na msingi
 
Back
Top Bottom