Xplasters, Nini dhambi kwa mwenye dhiki?

Watu wa Arusha mnakumbuka upinzani wa Makundi ya Hiphop hasa Xplastars na Hardcore Unit? Hii mizizi ndio inayofanya Arusha iendelee kutoa wana hiphop bora
 
kuna wabongo hawajui historia wamekariri diamond ndo ameitangaza Tanzania wanasahau Xplastaz ambao walianza perfom kwenye majukwaa makubwa huko Amsterdam,norway,germany,senegal,sweden tena ni kwenye maviwanja makubwa yale ambayowanatumia wasanii wakubwa...bongo mpaka leo wakienda ulaya ni eitther kuna birthday au wanaenda pafomu kwenye viukumbi vya mitaan....xplastaz walikua international show kubwa wazungu wana boogie down kama kawa....pia bila kusahau TATU NANE moja ya bend iliyotangaza tanzania vizur sana....pia kundi toka bagamoyo la mnanda linaitwa JAGWA ni balaa wabongo tunakarir sana embu ingia youtube andika jagwa uone mambo yao huko amsterdam,norway utadata,daimond cha mtoto ni promo tu zakifala kuna watu wanaitangaza tanzania vilivyo
 
Moja kati ya classics kwenye rap game bongo. Heshima za kutosha
 

Bila kusahau G-San aliwakilisha kwenye BET Cypher, ya '08 ama '09 nadhani.
 

Sasa kama MTU amezaliwa 1990 unategemea ataseamaje?sisi wa enzi hizo ndio tunajua nini in nini
R.I.P Fatha Nelly
 
Ni kweli Matumbo hata Me nliiona hyo kwenye zle segments za BET freestyles, kama nakumbuka vzur atakuwa anaitwa GSAN..

Hiki ni kipaji mungu alichonipa,kama siogopi majini vipi itakuwa sniper? Lugha ya mama kama G-SAN kwa cipher BET.
 
Hivi aliechomwa kisu ni father nelly?

ndo huyo huyo

jamaa alichomwa visu sehemu nyingi za mwili wake

r.i.p jembe hii nyimbo yako naikubali sana

ilikuwa mwaka 2005 ndo aliuawa kama ckosei

kundi lao lilikuwa linapiga show ulaya na ndo wasanii wa kwanza kupata treatment ya VIP kama kupanda kwny limousine n.k
 
Mikoba ya Faza Nelly ilishachukuliwa na Jombii Nyang'au a.k.a black zombie Chindo man "Umbwa" wa kijenge juu toka watengwa.
 
jamaa nawakubali sana. hili songi na ushanta ni noma. eti kokubanta mtoto anakuja kunitembelea tunapeleka ugali na maziwa mgando, tunaonekana tumechapia.
 
Dahh?! Hii ngoma si ya kispotspot,, kiss fm waliigonga sanaa,

Hawa jamaa wamekaa kimyaa,
 
dah hawajamaa nawakumbuka walikuwaga pia vinyozi wazuri mitaa ya faya arusha baadae wakaamia mitaa ya philips.
rip father nelly
 
R.I.P faza..kweli ulikuwa faza wa hip hop game.
 

Attachments

  • nelsonrip.jpg
    7.6 KB · Views: 41
recently kama mwaka umepita nilisikia kuna project wanakuja kufanya bongo na KRS 1 sasa sijajua wamefikia wapi,ila jamaa wako poa elimu yao ya kuunga unga but wamei explore dunia hatari,wana pini lao lingine linaitwa Msimu wa msimu aisee jamaa wako poa,Father Nelly pengo lake halijazibika mpaka kesho,alikuwa mwana Hip hop wa kweli na alikufa ki hip hop kweli kweli,ila mpaka leo wana mziki karibia wote wa hip hop hasa wakongwe wana pay respect kwa hawa jamaa,akina JCB,Joh makini na wengine mpaka ma underground,RIP father Nelly
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…