Iconoclastes
JF-Expert Member
- May 26, 2014
- 4,091
- 2,511
Thanks for the correction.I have a feeling Nigerians will love the show more than Kenyans.Escpecially any content about Buhari.Seen how they pour vitrol on their president?I mean they call him the Dullard at Aso Rock(the federal govt. seat)!So brutal!
It's actually just puppets, there is no animation involved.Kuna kipindi CNN walionyesha Gado is behind that animation production. Search CNN n u will see..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mod wamefanya yaoIle picha ya chuchu mbona siioni tena? Nina shida nayo
Tafuta ya Dr Mu7 akimhudumia mgonjwa wake akiitwa Mr Padlock,utacheka ufe tukuzike.Hizi show zenyu zimenibamba majirani.
Pia kumbuka Gado ni Mtanzania,sasa fikiria kungekuwa na Mkenya anafanya hivyo hapa Tanganyika nadhani muda huu angekuwa yupo Nyeri kitambo Bongo anaisikia tu redioni.Show hizi nazipenda sana; halafu inaonyesha jinsi gani Kenya walivyokomaa politically na wala viongozi hawasumbuliwi kabisa na hizi comics. Kuna nchi za kiafrika ukitoa show kama hizo unapelekwa kunakohusika