Naomba kumnukuu Dr Slaa hakuna sehemu duniani wananchi husema Fulani si mhalifu.Enyi vyama vya upinzani, nyote kabisa pasipokuwa na exception, huu ndiyo ulio ukweli mchungu:
View attachment 2718979
Tafsiri halisi kuwa:
Upinzani - walio waoga (cowards) si Wafuasi
Hii ni pasipo na kujali kuwa yeye Slaa aliwahi kuyasema yaliyo fyongo haya:
View attachment 2718978
Ikumbukwe hatujawahi kuwa na rafiki wala adui wa kudumu bali agenda:
Assad alipolikoroga tuyakumbuke ya Lwaitama
Kwenye mambo yako ya kitoto usihusishe wengi.Sisi WanaCHADEMA tujichunge na huyu Mzee asije akatuvuruga tukomae na jinsi ya kumtoa Mdude ni mtu wa maslahi ya kitumbua chake
Naomba kumnukuu Dr Slaa hakuna sehemu duniani wananchi husema Fulani si mhalifu.
Mwisho wa kunukuu.
Sisi WanaCHADEMA tujichunge na huyu Mzee asije akatuvuruga tukomae na jinsi ya kumtoa Mdude ni mtu wa maslahi ya kitumbua chake
Sio lazima tuwe na mawazo ya aina moja kwasababu msimamo wa Chama haujatokaKwenye mambo yako ya kitoto usihusishe wengi.
Sio lazima tuwe na mawazo ya aina moja kwasababu msimamo wa Chama haujatoka
Kwakweli NGOs za human rights ziangalie namna watu wanaovunja sheria wawe treated with dignity na haki za Mahabusu nk. lakini sio kuingilia mhimili wa sheriaKwamba bado nani wako kimya? Kama hadi Nape kasema?
View attachment 2719086
Ama kweli:
View attachment 2719087
Heshima kwake Martin Luther.
Kwakweli NGOs za human rights ziangalie namna watu wanaovunja sheria wawe treated with dignity na haki za Mahabusu nk. lakini sio kuingilia mhimili wa sheria
Maana ya Human rights kwa Watuhumiwa,Mahabusu,na Wafungwa lakini iziache Mamlaka zetu za ndani zinazofanya kazi kwa mujibu wa sheria za Nchi ya Tanzania.Ila tof
Ila tofautisha wanaovunja sheria na watuhumiwa.
"Pia tofautisha kuhimiza sheria kufuatwa na kuingilia mhimili wa sheria."
Vinginevyo utakuwa kwenye kubwabwaja kipoyoyo poyoyo tu.