Yatuhusu vipi ya hawa na barakoa zao?
Au ya huyu na wahuni wake?
Muhimu tutambue:
1. Wananchi walio wengi wanataka katiba mpya isipokuwa wenye maslahi binafsi na iliyopo.
2. Katiba Mpya haitapatikana kwa miito ya mitandaoni au maneno pekee.
3. Katiba Mpya haitapatikana bila ya watu (sisi) kuingia barabarani na kuidai kwa vitendo.
Ukweli mchungu bila kuwepo na uongozi wa mfano kuwafikisha watu barabarani, #3 pale itabakia kuwa ndoto.
Shime waungwana Katiba Mbovu tuliyo nayo ndiyo chanzo cha matatizo yetu kama nchi.
Hayawezi kuwapo matunda bila jasho.
Au ya huyu na wahuni wake?
Muhimu tutambue:
1. Wananchi walio wengi wanataka katiba mpya isipokuwa wenye maslahi binafsi na iliyopo.
2. Katiba Mpya haitapatikana kwa miito ya mitandaoni au maneno pekee.
3. Katiba Mpya haitapatikana bila ya watu (sisi) kuingia barabarani na kuidai kwa vitendo.
Ukweli mchungu bila kuwepo na uongozi wa mfano kuwafikisha watu barabarani, #3 pale itabakia kuwa ndoto.
Shime waungwana Katiba Mbovu tuliyo nayo ndiyo chanzo cha matatizo yetu kama nchi.
Hayawezi kuwapo matunda bila jasho.