bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Anayokumbana nayo Clatous Chama amenikumbusha pia aliyowahi kukutana nayo pia Juan Mata chini ya Jose Mourinho, Game na Mbeya city kwenye Dk za mwanzo Chama alitolewa na kwenda kupumzika kwenye mbao ndefu na kuleta hali ya sintofahamu kwa mashibiki wa Simba.
Juan Mata naye aliwahi kukutana na kadhia kama hii akiwa pale Chelsea ni baada ya kutoingia kwenye mfumo wa kocha wa Kireno mwenye maneno mengi Jose Mourihno na kumpekea kumpiga mnada ambapo alielekea pale Old Traford scenario zinafanana ila bahati mbaya moja imetokea wanapofahamu maana ya mpira na nyingine imetokea wanapoendeshwa na mihemko zaidi.
Jose alikua anataka watu wanaokimbia kila mara kiwanjani na kuwasumbua wapinzani wanapokua na mpira au hawana watu jamaii ya Michael Essien, Msambaa yule Ramires,John Obi, Lampard et al bila kupepesa macho Jose alisema Mata ni mchezaji mzuri ila kwenye mfumo wangu haingii tatizo lake likiwa ni mvivu kukaba.
Mbeya City vs Simba ile gemu nliicheck kipindi cha kwanza Mbeya city walidictate sana eneo la kati ila baada ya Chama kutoka Simba ikaanza kumiliki mali na timu kusogea mbele.
Ushauri wanaSimba kuweni wapole kila mtaalamu i mean kocha ana mifumo yake na kupenda kutumia wachezaji flani mambo ya sijui Kocha ndio aingie kwenye mfumo wa Kocha hakuna kitu kama hicho kwenye futball.
Juan Mata naye aliwahi kukutana na kadhia kama hii akiwa pale Chelsea ni baada ya kutoingia kwenye mfumo wa kocha wa Kireno mwenye maneno mengi Jose Mourihno na kumpekea kumpiga mnada ambapo alielekea pale Old Traford scenario zinafanana ila bahati mbaya moja imetokea wanapofahamu maana ya mpira na nyingine imetokea wanapoendeshwa na mihemko zaidi.
Jose alikua anataka watu wanaokimbia kila mara kiwanjani na kuwasumbua wapinzani wanapokua na mpira au hawana watu jamaii ya Michael Essien, Msambaa yule Ramires,John Obi, Lampard et al bila kupepesa macho Jose alisema Mata ni mchezaji mzuri ila kwenye mfumo wangu haingii tatizo lake likiwa ni mvivu kukaba.
Mbeya City vs Simba ile gemu nliicheck kipindi cha kwanza Mbeya city walidictate sana eneo la kati ila baada ya Chama kutoka Simba ikaanza kumiliki mali na timu kusogea mbele.
Ushauri wanaSimba kuweni wapole kila mtaalamu i mean kocha ana mifumo yake na kupenda kutumia wachezaji flani mambo ya sijui Kocha ndio aingie kwenye mfumo wa Kocha hakuna kitu kama hicho kwenye futball.