Ya Dr. Mwele Malecela na Prof. Mussa Assad

Ya Dr. Mwele Malecela na Prof. Mussa Assad

OIL CHAFU

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2012
Posts
996
Reaction score
773
Ni dhahiri sakata la CAG Prof. Mussa Assad na bunge ni kama vile moto ambao hautaki kuzimika, na bado ni sintofahamu hatma yake nani ataibuka kidedea. nawaza kwa sauti kama linaweza kutokea kama kilichotokea kwa Dr. Mwele Malechela.

Serikali ilimpiga fitna weeee kisa kasema ukweli, hatima yake akatumbuliwa. Wote tunajua dua la kuku halimpati mwewe, Dr. Mwele akala shavu kubwa kimataifa, yaani chura kapigwa teke.

Je, CAG wetu yanaweza kumkuta yaliyompata Dr. Malecela? atumbuliwe, halafu Mungu amfungulie mlango mpana zaidi kimataifa.
 
CAG hawezi kuishinda mihimili miwili yenye uwezo wa kubadili hata nguvu yake kikatiba....uzuri hata yeye anajua wanaenda kumuoverthrow....cha kusikitisha wapambe wake bado wanampa credit ya kuwin battle kwa njia ya kuonyesha vifungu vya katiba kana kwamba ngosha havijui, wakat anavijua na anachotaka ni to kill the man slowly......
 
CAG hawezi kuishinda mihimili miwili yenye uwezo wa kubadili hata nguvu yake kikatiba....uzuri hata yeye anajua wanaenda kumuoverthrow....cha kusikitisha wapambe wake bado wanampa credit ya kuwin battle kwa njia ya kuonyesha vifungu vya katiba kana kwamba ngosha havijui, wakat anavijua na anachotaka ni to kill the man slowly......
Patachimbika
 
CAG hawezi kuishinda mihimili miwili yenye uwezo wa kubadili hata nguvu yake kikatiba....uzuri hata yeye anajua wanaenda kumuoverthrow....cha kusikitisha wapambe wake bado wanampa credit ya kuwin battle kwa njia ya kuonyesha vifungu vya katiba kana kwamba ngosha havijui, wakat anavijua na anachotaka ni to kill the man slowly......
Pole !!!Assad sio Kabudi
 
assad si ameshaelekea kustaafu huyu?,hivi kwani kweli assad anapambana na mihimili mikubwa miwili,au ni hisia za watu?
Assad hapambani na muhimili wowote yeye Yukokisheria na kikatiba sasa kama hawamtaki wanaona ni kikwazo katika utendaji wake wafuate utaratibu wa kumuondoa sifikirii kama Dr.Prof. Assad anajali sana kama hao wengine ambao wanauza utu wao kwa manufaa ya muda mfupi.
 
CAG’s constitutional mandate, under the
CAG (Duties, Powers & Condition of
Service) Act or Audit Act, is to hold the
executive accountable
 
Ni dhahiri sakata la CAG Prof. Mussa Assad na bunge ni kama vile moto ambao hautaki kuzimika, na bado ni sintofahamu hatma yake nani ataibuka kidedea. nawaza kwa sauti kama linaweza kutokea kama kilichotokea kwa Dr. Mwele Malechela.

Serikali ilimpiga fitna weeee kisa kasema ukweli, hatima yake akatumbuliwa. Wote tunajua dua la kuku halimpati mwewe, Dr. Mwele akala shavu kubwa kimataifa, yaani chura kapigwa teke.

Je, CAG wetu yanaweza kumkuta yaliyompata Dr. Malecela? atumbuliwe, halafu Mungu amfungulie mlango mpana zaidi kimataifa.
Hoja yako dhaifu sana, unafikiri serikali inakijiba na mtu akifanya kazi za kimataifa?
 
..ningekuwa mtu wa karibu wa Prof ningemshauri kwamba hata kama atashinda mtihani huu asepe akafanye kazi nje ya nchi au kwenye taasisi za kimataifa.
 
Tatizo letu watanzania tumeamua kuwa wanafki sana ,hivi kama wasomi wana pingwa na wanasiasa kwasababu ambazo hazieleweki,kweli tutafika tunapo kwenda.
 
What i see kum phase out CAG itakuwa ngumu maana Subwoofer amejaribu ku impose coercive tactics dhidi yake ila jamaa ameonekana hana pressure kabisa na kimsingi bwana Subwoofer hana mamlaka yeyote zaidi ya kuitisha azimio la kumsusia.

Ni utoto wa kiwango cha juu anaodhihirisha bwana Subwoofer sawa kabisa na ule tuliokuwa tunaufanya enzi tukiwa ma young pineous wa kutumia kauli kama "Basi sichezi na wewe!" endapo ombi lako halijazingatiwa.

Utamtenganishaje CAG na ofisi yake? Unaposema humtaki Assad ila unataka kufanya kazi na ofisi yake tafsiri yake ni nini haswa? This appears to be the strangest era of all the parliamentary reigns!
 
CAG hawezi kuishinda mihimili miwili yenye uwezo wa kubadili hata nguvu yake kikatiba....uzuri hata yeye anajua wanaenda kumuoverthrow....cha kusikitisha wapambe wake bado wanampa credit ya kuwin battle kwa njia ya kuonyesha vifungu vya katiba kana kwamba ngosha havijui, wakat anavijua na anachotaka ni to kill the man slowly......
Hata shetani ni muelewa wa hila zake lakini hajawahi kuishinda haki.
 
CAG hawezi kuishinda mihimili miwili yenye uwezo wa kubadili hata nguvu yake kikatiba....uzuri hata yeye anajua wanaenda kumuoverthrow....cha kusikitisha wapambe wake bado wanampa credit ya kuwin battle kwa njia ya kuonyesha vifungu vya katiba kana kwamba ngosha havijui, wakat anavijua na anachotaka ni to kill the man slowly......
Mbona unateseka hivi ? CAG mwenyewe kasema analichukulia swala hili kwa utulivu na halimsumbui ...

Hivyo vifungu vya katiba unavyosema ndio vinampa nguvu anayo simamia CAG .

Hivyo vifungu alitunga yeye CAG ?

Nendeni bungeni mkafanye amendment ya hivyo vifungu under certificate of urgency msitusumbue huku kwa hoja za kipumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni dhahiri sakata la CAG Prof. Mussa Assad na bunge ni kama vile moto ambao hautaki kuzimika, na bado ni sintofahamu hatma yake nani ataibuka kidedea. nawaza kwa sauti kama linaweza kutokea kama kilichotokea kwa Dr. Mwele Malechela.

Serikali ilimpiga fitna weeee kisa kasema ukweli, hatima yake akatumbuliwa. Wote tunajua dua la kuku halimpati mwewe, Dr. Mwele akala shavu kubwa kimataifa, yaani chura kapigwa teke.

Je, CAG wetu yanaweza kumkuta yaliyompata Dr. Malecela? atumbuliwe, halafu Mungu amfungulie mlango mpana zaidi kimataifa.
Dr Mpoki
 
Back
Top Bottom