Siyo ka process bali ni LI. PROCESS.Bahati nzuri CAG hatumbuliki kwa barua za Msigwa zinazoandikwa weekends/midnights kama kina Mwelle. Kuna kaprocess inabidi kafanyike. Otherwise atishwe na kulazimika kuresign mwenyewe
PatachimbikaCAG hawezi kuishinda mihimili miwili yenye uwezo wa kubadili hata nguvu yake kikatiba....uzuri hata yeye anajua wanaenda kumuoverthrow....cha kusikitisha wapambe wake bado wanampa credit ya kuwin battle kwa njia ya kuonyesha vifungu vya katiba kana kwamba ngosha havijui, wakat anavijua na anachotaka ni to kill the man slowly......
Pole !!!Assad sio KabudiCAG hawezi kuishinda mihimili miwili yenye uwezo wa kubadili hata nguvu yake kikatiba....uzuri hata yeye anajua wanaenda kumuoverthrow....cha kusikitisha wapambe wake bado wanampa credit ya kuwin battle kwa njia ya kuonyesha vifungu vya katiba kana kwamba ngosha havijui, wakat anavijua na anachotaka ni to kill the man slowly......
Assad hapambani na muhimili wowote yeye Yukokisheria na kikatiba sasa kama hawamtaki wanaona ni kikwazo katika utendaji wake wafuate utaratibu wa kumuondoa sifikirii kama Dr.Prof. Assad anajali sana kama hao wengine ambao wanauza utu wao kwa manufaa ya muda mfupi.assad si ameshaelekea kustaafu huyu?,hivi kwani kweli assad anapambana na mihimili mikubwa miwili,au ni hisia za watu?
Hoja yako dhaifu sana, unafikiri serikali inakijiba na mtu akifanya kazi za kimataifa?Ni dhahiri sakata la CAG Prof. Mussa Assad na bunge ni kama vile moto ambao hautaki kuzimika, na bado ni sintofahamu hatma yake nani ataibuka kidedea. nawaza kwa sauti kama linaweza kutokea kama kilichotokea kwa Dr. Mwele Malechela.
Serikali ilimpiga fitna weeee kisa kasema ukweli, hatima yake akatumbuliwa. Wote tunajua dua la kuku halimpati mwewe, Dr. Mwele akala shavu kubwa kimataifa, yaani chura kapigwa teke.
Je, CAG wetu yanaweza kumkuta yaliyompata Dr. Malecela? atumbuliwe, halafu Mungu amfungulie mlango mpana zaidi kimataifa.
Hata shetani ni muelewa wa hila zake lakini hajawahi kuishinda haki.CAG hawezi kuishinda mihimili miwili yenye uwezo wa kubadili hata nguvu yake kikatiba....uzuri hata yeye anajua wanaenda kumuoverthrow....cha kusikitisha wapambe wake bado wanampa credit ya kuwin battle kwa njia ya kuonyesha vifungu vya katiba kana kwamba ngosha havijui, wakat anavijua na anachotaka ni to kill the man slowly......
Mbona unateseka hivi ? CAG mwenyewe kasema analichukulia swala hili kwa utulivu na halimsumbui ...CAG hawezi kuishinda mihimili miwili yenye uwezo wa kubadili hata nguvu yake kikatiba....uzuri hata yeye anajua wanaenda kumuoverthrow....cha kusikitisha wapambe wake bado wanampa credit ya kuwin battle kwa njia ya kuonyesha vifungu vya katiba kana kwamba ngosha havijui, wakat anavijua na anachotaka ni to kill the man slowly......
Dr MpokiNi dhahiri sakata la CAG Prof. Mussa Assad na bunge ni kama vile moto ambao hautaki kuzimika, na bado ni sintofahamu hatma yake nani ataibuka kidedea. nawaza kwa sauti kama linaweza kutokea kama kilichotokea kwa Dr. Mwele Malechela.
Serikali ilimpiga fitna weeee kisa kasema ukweli, hatima yake akatumbuliwa. Wote tunajua dua la kuku halimpati mwewe, Dr. Mwele akala shavu kubwa kimataifa, yaani chura kapigwa teke.
Je, CAG wetu yanaweza kumkuta yaliyompata Dr. Malecela? atumbuliwe, halafu Mungu amfungulie mlango mpana zaidi kimataifa.
Katiba ipi mnatumia?