Ya harufu ya TREASON dhidi ya serikali isiyo ya samaki; ya wapuuzi wanaotaka kuishika serikali kwa kidole kimoja

Ya harufu ya TREASON dhidi ya serikali isiyo ya samaki; ya wapuuzi wanaotaka kuishika serikali kwa kidole kimoja

Mkunazi Njiwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2023
Posts
8,538
Reaction score
7,559
Unanisukuma nakuangalia ila ujue nikifika ukutani sitokuwa na sehemu ya kwenda.

Umeshanifikisha ukutani kwa "ugobo wako" narudia tena kukurai niache bwana kwani mimi ni mtu mwema lakini bado husikii tu ,unanikwida shati na kutaka kuninin'giniza kwa kidole kimoja 😲😲

Hata huyo chawa tu havunjwi kwa kidole kimoja.Nimechoka kuvumilia manyanyaso haya.

Binadamu kiumbe wa ajabu sana ubaya atasema, ukiwa mwema vivyo hivyo.

Mwendawazimu yule eti anasema anamkumbuka hayati Mwanamwema wa Afrika El Commandante John Magufuli , eti bora yake kuliko huyu wa sasa. Amesahau matusi yake kwa hayati kuwa ni DIKTETA UCHWARA.

4R's ziko mbele ya macho kutufanya tuwe bora zaidi lakini wapi kwa ubaguzi wa KANDA NA MAENEO TUTOKAKO wameamua kumwandama kipenzi chetu. Hawa "misogynists" wanaowadharau wanawake na kuwaona ni duni wamekuja na staili za hovyo mno. TAHARUKI TAHARUKI TAHARUKI.

Ionekane kiongozi ameishindwa nchi, ionekane Mzanzibari hafai kuwa kiongozi mkubwa, ionekane kuwa akina MAGRETH THATCHER hawazaliwa Afrika.

Fikra mbovu kabisa hizi kuzipuuza ni kutaka tuwe kama Sudan, uwe kama Lebanon tuwe kama Ethiopia na kule Mali.

Nchi za Afrika zinabomoka kwa kutumia wenzetu wenye fikra za hovyo kupitia elimu kubwa na ujanja wa kiliberali.

Mwananchi sitaki kuiona nchi yangu ikiingia katika Machafuko kisa maslahi koko ya watu wachache mamluki.

Yaani nisitafute dona langu kuvilisha vitoto vyangu hapa mkahawani nishughulishwe na kimbiakimbia kama vile niko Kivu ya Kaskazini kule Goma.

Hivi ni kweli S 23 wamewaiga M 23 kwa njia za kificho ?!!!

Tanzania yetu tutailinda wenyewe kwani heri ya njaa katika utulivu kuliko njaa katika Machafuko na vurugu za wenyewe kwa wenyewe.

Mwenyezi Mungu mlinde Rais wetu chifu Hangaya dhidi ya MAFATANI aaamin aaaamin.😍

Mwenyezi Mungu tulinde wananchi wa Tanzania na dola letu aaamin aaaamin 😍

#Nchi Kwanza KABLA ya yeyote na chochote 😍
#Serikali mbili za JMT Milele dumu, aaamin aaamin😍
 
Eti treason, dah Tanzania bwana kuna story nyingi sana, kwahiyo yule poor Mzee alikuwa anahusika na treason, hawa CDM na hawa vijana machokoraa wa kwenye mtandaoni wasiojua wanachofanya akina Sativa ndio wanahusika na treason

Hawa akina Mbowe, Mnyika, Lema, Lissu nk ndio wanahusika na treason, hahahaha, tunataka kuiambia Dunia TZ ni kama DRC tu hahaahhaahaa.

Kuna maneno tusipende kuyaongeaongea sana maana kinachofuata tutakuwa ndio tunafundisha watu kuyafanya hayo na kuamka kutoka usingizini.

Tanzania ni nchi ambayo huwezi kusema eti kuna watu wanataka kufanya mapinduzi kulingana na aina ya mfumo na watu tulionao, hakuna mtanzania kwenye karne hii amefikia huko.

Mapinduzi yanahitaji vyombo vya usalama viwili muhimu, Jeshi na TISS, lakini pia mapinduzi huhitaji watu.
Kimsingi Tanzania hakuna chombo cha usalama chenye uthubutu na fikra za kufanya mapinduzi na hakuna Mwananchi mwenye uwezo wa kufanya mapinduzi.
 
Unanisukuma nakuangalia ila ujue nikifika ukutani sitokuwa na sehemu ya kwenda.

Umeshanifikisha ukutani kwa "ugobo wako" narudia tena kukurai niache bwana kwani mimi ni mtu mwema lakini bado husikii tu ,unanikwida shati na kutaka kuninin'giniza kwa kidole kimoja 😲😲

Hata huyo chawa tu havunjwi kwa kidole kimoja.Nimechoka kuvumilia manyanyaso haya.

Binadamu kiumbe wa ajabu sana ubaya atasema, ukiwa mwema vivyo hivyo.

Mwendawazimu yule eti anasema anamkumbuka hayati Mwanamwema wa Afrika El Commandante John Magufuli , eti bora yake kuliko huyu wa sasa. Amesahau matusi yake kwa hayati kuwa ni DIKTETA UCHWARA.

4R's ziko mbele ya macho kutufanya tuwe bora zaidi lakini wapi kwa ubaguzi wa KANDA NA MAENEO TUTOKAKO wameamua kumwandama kipenzi chetu. Hawa "misogynists" wanaowadharau wanawake na kuwaona ni duni wamekuja na staili za hovyo mno. TAHARUKI TAHARUKI TAHARUKI.

Ionekane kiongozi ameishindwa nchi, ionekane Mzanzibari hafai kuwa kiongozi mkubwa, ionekane kuwa akina MAGRETH THATCHER hawazaliwa Afrika.

Fikra mbovu kabisa hizi kuzipuuza ni kutaka tuwe kama Sudan, uwe kama Lebanon tuwe kama Ethiopia na kule Mali.

Nchi za Afrika zinabomoka kwa kutumia wenzetu wenye fikra za hovyo kupitia elimu kubwa na ujanja wa kiliberali.

Mwananchi sitaki kuiona nchi yangu ikiingia katika Machafuko kisa maslahi koko ya watu wachache mamluki.

Yaani nisitafute dona langu kuvilisha vitoto vyangu hapa mkahawani nishughulishwe na kimbiakimbia kama vile niko Kivu ya Kaskazini kule Goma.

Hivi ni kweli S 23 wamewaiga M 23 kwa njia za kificho ?!!!

Tanzania yetu tutailinda wenyewe kwani heri ya njaa katika utulivu kuliko njaa katika Machafuko na vurugu za wenyewe kwa wenyewe.

Mwenyezi Mungu mlinde Rais wetu chifu Hangaya dhidi ya MAFATANI aaamin aaaamin.😍

Mwenyezi Mungu tulinde wananchi wa Tanzania na dola letu aaamin aaaamin 😍

#Nchi Kwanza KABLA ya yeyote na chochote 😍
#Serikali mbili za JMT Milele dumu, aaamin aaamin😍
Uzi umetulia mno. Uzi wa kizalendo kabisa. Hotuba ya Amiri Jeshi Mkuu wa nchi iliwafanya wenye viherehere na uchu wawe kama walevi. Wanaendelea kuropoka tu....Kwa kweli hotuba ya Samia ilipaswa kuwa vile alivyoitoa. Hakukuwa na namna nyengine. Hii sio Serikali ya samaki bwanaa!! Mungu amlinde Rais wetu, ailinde nchi na watu wake.
 
Uzi umetulia mno. Uzi wa kizalendo kabisa. Hotuba ya Amiri Jeshi Mkuu wa nchi iliwafanya wenye viherehere na uchu wawe kama walevi. Wanaendelea kuropoka tu....Kwa kweli hotuba ya Samia ilipaswa kuwa vile alivyoitoa. Hakukuwa na namna nyengine. Hii sio Serikali ya samaki bwanaa!! Mungu amlinde Rais wetu, ailinde nchi na watu wake.
Aaaamin aaamin mzalendo mwenzangu!

Mkuu wangu maadui wameamua kutuyumbisha wananchi ,sijui wanataka tuwe kama Kivu kaskazini ama kule Sudan ambako wasio na hatia wanakufa kwa mateso makubwa kwa sababu ya maslahi ya wanasiasa wachache?!!

Inaogopesha sana mzalendo mwenzangu
 
Watangulize mbele watoto wao ndio watamuelewa afande Wambura. Hanaga maneno mengi ila maelekezo ya jana yana maana kubwa sana kwa kijana yeyote mwenye akili timamu kuingia barabarani
Baada ya ile hotuba nimetoka kuongea na vijana wenzangu kijiweni kwetu kwenye kahawa....

Kutwa wao kuhamasisha maandamano....

Nimewaambia sumu haionjwi na walipende taifa lao zaidi ya siasa koko.....
 
Mkishindwa ndo mnaibuka na ngonjera nyingi hivi.Hii ni matokeo ya hofu ya kushindwa.Timizeni wajibu wenu acheni porojo zakusukuma lawama kwa wengine.
 
Eti treason, dah Tanzania bwana kuna story nyingi sana, kwahiyo yule poor Mzee alikuwa anahusika na treason, hawa CDM na hawa vijana machokoraa wa kwenye mtandaoni wasiojua wanachofanya akina Sativa ndio wanahusika na treason

Hawa akina Mbowe, Mnyika, Lema, Lissu nk ndio wanahusika na treason, hahahaha, tunataka kuiambia Dunia TZ ni kama DRC tu hahaahhaahaa.

Kuna maneno tusipende kuyaongeaongea sana maana kinachofuata tutakuwa ndio tunafundisha watu kuyafanya hayo na kuamka kutoka usingizini.

Tanzania ni nchi ambayo huwezi kusema eti kuna watu wanataka kufanya mapinduzi kulingana na aina ya mfumo na watu tulionao, hakuna mtanzania kwenye karne hii amefikia huko.

Mapinduzi yanahitaji vyombo vya usalama viwili muhimu, Jeshi na TISS, lakini pia mapinduzi huhitaji watu.
Kimsingi Tanzania hakuna chombo cha usalama chenye uthubutu na fikra za kufanya mapinduzi na hakuna Mwananchi mwenye uwezo wa kufanya mapinduzi.
Acha kukariri....

Kuna style nyingi za kuanzia mapinduzi.....

Sudan ni rejea.....

Hao uwasemao baadhi yao(kwani hayafanywi na kila mmoja wao) wanaweza kutumia hizo siasa za maandamano......

Sijajiongelea kama chizi tu....
 
Unanisukuma nakuangalia ila ujue nikifika ukutani sitokuwa na sehemu ya kwenda.

Umeshanifikisha ukutani kwa "ugobo wako" narudia tena kukurai niache bwana kwani mimi ni mtu mwema lakini bado husikii tu ,unanikwida shati na kutaka kuninin'giniza kwa kidole kimoja 😲😲

Hata huyo chawa tu havunjwi kwa kidole kimoja.Nimechoka kuvumilia manyanyaso haya.

Binadamu kiumbe wa ajabu sana ubaya atasema, ukiwa mwema vivyo hivyo.

Mwendawazimu yule eti anasema anamkumbuka hayati Mwanamwema wa Afrika El Commandante John Magufuli , eti bora yake kuliko huyu wa sasa. Amesahau matusi yake kwa hayati kuwa ni DIKTETA UCHWARA.

4R's ziko mbele ya macho kutufanya tuwe bora zaidi lakini wapi kwa ubaguzi wa KANDA NA MAENEO TUTOKAKO wameamua kumwandama kipenzi chetu. Hawa "misogynists" wanaowadharau wanawake na kuwaona ni duni wamekuja na staili za hovyo mno. TAHARUKI TAHARUKI TAHARUKI.

Ionekane kiongozi ameishindwa nchi, ionekane Mzanzibari hafai kuwa kiongozi mkubwa, ionekane kuwa akina MAGRETH THATCHER hawazaliwa Afrika.

Fikra mbovu kabisa hizi kuzipuuza ni kutaka tuwe kama Sudan, uwe kama Lebanon tuwe kama Ethiopia na kule Mali.

Nchi za Afrika zinabomoka kwa kutumia wenzetu wenye fikra za hovyo kupitia elimu kubwa na ujanja wa kiliberali.

Mwananchi sitaki kuiona nchi yangu ikiingia katika Machafuko kisa maslahi koko ya watu wachache mamluki.

Yaani nisitafute dona langu kuvilisha vitoto vyangu hapa mkahawani nishughulishwe na kimbiakimbia kama vile niko Kivu ya Kaskazini kule Goma.

Hivi ni kweli S 23 wamewaiga M 23 kwa njia za kificho ?!!!

Tanzania yetu tutailinda wenyewe kwani heri ya njaa katika utulivu kuliko njaa katika Machafuko na vurugu za wenyewe kwa wenyewe.

Mwenyezi Mungu mlinde Rais wetu chifu Hangaya dhidi ya MAFATANI aaamin aaaamin.😍

Mwenyezi Mungu tulinde wananchi wa Tanzania na dola letu aaamin aaaamin 😍

#Nchi Kwanza KABLA ya yeyote na chochote 😍
#Serikali mbili za JMT Milele dumu, aaamin aaamin😍
Amekiuka maagizo yao waliompa Yale 18 na nasikia Kuna mengine 35 katika hayo 18!

Nasikia ni hivyo na wale jamaa walisema kabisaa kwamba"Bunge la kitabu lisipoundwa Hadi mwakani itakua too late kwake" mane o hayo yaliandikwa 2021! Kwenye "operation imesitishwa the state wamesema apewe muda"!!!


Sasa yamekiukwa hayo !kinachoendelea ni kutotawalika na kiti kuwa kichungu sana!

Ndivyo ninavyoelewa!
 
Unanisukuma nakuangalia ila ujue nikifika ukutani sitokuwa na sehemu ya kwenda.

Umeshanifikisha ukutani kwa "ugobo wako" narudia tena kukurai niache bwana kwani mimi ni mtu mwema lakini bado husikii tu ,unanikwida shati na kutaka kuninin'giniza kwa kidole kimoja 😲😲

Hata huyo chawa tu havunjwi kwa kidole kimoja.Nimechoka kuvumilia manyanyaso haya.

Binadamu kiumbe wa ajabu sana ubaya atasema, ukiwa mwema vivyo hivyo.

Mwendawazimu yule eti anasema anamkumbuka hayati Mwanamwema wa Afrika El Commandante John Magufuli , eti bora yake kuliko huyu wa sasa. Amesahau matusi yake kwa hayati kuwa ni DIKTETA UCHWARA.

4R's ziko mbele ya macho kutufanya tuwe bora zaidi lakini wapi kwa ubaguzi wa KANDA NA MAENEO TUTOKAKO wameamua kumwandama kipenzi chetu. Hawa "misogynists" wanaowadharau wanawake na kuwaona ni duni wamekuja na staili za hovyo mno. TAHARUKI TAHARUKI TAHARUKI.

Ionekane kiongozi ameishindwa nchi, ionekane Mzanzibari hafai kuwa kiongozi mkubwa, ionekane kuwa akina MAGRETH THATCHER hawazaliwa Afrika.

Fikra mbovu kabisa hizi kuzipuuza ni kutaka tuwe kama Sudan, uwe kama Lebanon tuwe kama Ethiopia na kule Mali.

Nchi za Afrika zinabomoka kwa kutumia wenzetu wenye fikra za hovyo kupitia elimu kubwa na ujanja wa kiliberali.

Mwananchi sitaki kuiona nchi yangu ikiingia katika Machafuko kisa maslahi koko ya watu wachache mamluki.

Yaani nisitafute dona langu kuvilisha vitoto vyangu hapa mkahawani nishughulishwe na kimbiakimbia kama vile niko Kivu ya Kaskazini kule Goma.

Hivi ni kweli S 23 wamewaiga M 23 kwa njia za kificho ?!!!

Tanzania yetu tutailinda wenyewe kwani heri ya njaa katika utulivu kuliko njaa katika Machafuko na vurugu za wenyewe kwa wenyewe.

Mwenyezi Mungu mlinde Rais wetu chifu Hangaya dhidi ya MAFATANI aaamin aaaamin.😍

Mwenyezi Mungu tulinde wananchi wa Tanzania na dola letu aaamin aaaamin 😍

#Nchi Kwanza KABLA ya yeyote na chochote 😍
#Serikali mbili za JMT Milele dumu, aaamin aaamin😍
We kapuku tu. wapo maccm wanofaidi matunda ya tz

wengine,
Kuna Nini Cha kujivunia tz siku hizi zaidi ya kutekana tu

Uchumi 0
Elimu 0 demokrasia0
Michezo 0

Sasa tunasema kama mmeamua kutuua ni Bora mtuulie kwenye maandamano kuliko kututeka

23 Sept tukutane kwenye maandamano
 
We kapuku tu. wapo maccm wanofaidi matunda ya tz

wengine,
Kuna Nini Cha kujivunia tz siku hizi zaidi ya kutekana tu

Uchumi 0
Elimu 0 demokrasia0
Michezo 0

Sasa tunasema kama mmeamua kutuua ni Bora mtuulie kwenye maandamano kuliko kututeka

23 Sept tukutane kwenye maandamano
🤣🤣
Sawa mimi ni kapuku....

Lakini ndani ya CCM hatuwezi wote kuwa viongozi na kupata stahiki kubwa....

Hakuna mtu mtimilifu wa akili anayetaka kumuua mtanzania mwenzake....mimi sitaki wewe kukumbwa na baya lolote ila mimi si FFU....ukivunja taratibu basi utendaji wao katika hayo mimi kapuku haunihusu....

Kila la heri mbele ya FFU hiyo S23...
 
Amekiuka maagizo yao waliompa Yale 18 na nasikia Kuna mengine 35 katika hayo 18!

Nasikia ni hivyo na wale jamaa walisema kabisaa kwamba"Bunge la kitabu lisipoundwa Hadi mwakani itakua too late kwake" mane o hayo yaliandikwa 2021! Kwenye "operation imesitishwa the state wamesema apewe muda"!!!


Sasa yamekiukwa hayo !kinachoendelea ni kutotawalika na kiti kuwa kichungu sana!

Ndivyo ninavyoelewa!
Maagizo 18 yapi mkuu wangu?!!
 
Back
Top Bottom