Ya Israel na Palestine: Nimeamini Dunia Hii Tunafuata Sheria za Wakubwa Pekee, Si za Mungu

Ya Israel na Palestine: Nimeamini Dunia Hii Tunafuata Sheria za Wakubwa Pekee, Si za Mungu

rajiih

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2019
Posts
489
Reaction score
744
Habari wakuu wa Jf poleni na majukumu ya kazi na simanzi ya Janga letu la pale Kariakoo.

Ukifuatilia muenendo wa Vita huko Gaza ni dhahiri kabisa nafsi yako itakuuma na Mauwaji ya haraiki kila kukicha huku Dunia ikikaa kimya pasi zuio au katazo lolote dhidi ya dhulma hii ya wana Gaza. Je ni nini kipo mbele ya hii Vita?! Kwanini US na mpwa wake UK wanahakikisha Mauwaji haya yanaendelea kila kukicha pasi na Ukomo?!

Kwa akili ya haraka ni ngumu kuamini kwamba Hamas bado watakua Mateka wa Israel ni ngumu na haiwezekani. Kwa imani na itikadi ya Waislamu dhidi ya Wayahudi.

Swali ni kuwa Israel na washirika wake hawajaridhika tu na walichokifanya Gaza mpka sasa?! Na Kwanini waendelee kuua watoto na wagonjwa wakiwa Sanctuary na Hospital.

Nadhani ni wakati wa US na Uk kukatisha msaada wa Kijeshi kwa Israel. Mwanzo nilimuelewa Biden kama mtu mpole sana na mwenye Hofu ya Mungu Mkuu ila kwa bahati mbaya Mungu wao wanaomuabudu anautia wasiwasi Ulimwengu kwa sera zake za Mauwaji kupitia Vita.
 
Habari wakuu wa Jf poleni na majukumu ya kazi na simanzi ya Janga letu la pale Kariakoo.

Ukifuatilia muenendo wa Vita huko Gaza ni dhahiri kabisa nafsi yako itakuuma na Mauwaji ya haraiki kila kukicha huku Dunia ikikaa kimya pasi zuio au katazo lolote dhidi ya dhulma hii ya wana Gaza. Je ni nini kipo mbele ya hii Vita?! Kwanini US na mpwa wake UK wanahakikisha Mauwaji haya yanaendelea kila kukicha pasi na Ukomo?!

Kwa akili ya haraka ni ngumu kuamini kwamba Hamas bado watakua Mateka wa Israel ni ngumu na haiwezekani. Kwa imani na itikadi ya Waislamu dhidi ya Wayahudi.

Swali ni kuwa Israel na washirika wake hawajaridhika tu na walichokifanya Gaza mpka sasa?! Na Kwanini waendelee kuua watoto na wagonjwa wakiwa Sanctuary na Hospital.

Nadhani ni wakati wa US na Uk kukatisha msaada wa Kijeshi kwa Israel. Mwanzo nilimuelewa Biden kama mtu mpole sana na mwenye Hofu ya Mungu Mkuu ila kwa bahati mbaya Mungu wao wanaomuabudu anautia wasiwasi Ulimwengu kwa sera zake za Mauwaji kupitia Vita.
Huwezi kusema israel inafanya mauaji ya halaiki huku mnatangaza hamas watashinda vita mbona Netanyahuu kashaweka wazi mkitaka vita viishe hata kesho hamas wawaachilie mateka na waweke silaha chini
 
Habari wakuu wa Jf poleni na majukumu ya kazi na simanzi ya Janga letu la pale Kariakoo.

Ukifuatilia muenendo wa Vita huko Gaza ni dhahiri kabisa nafsi yako itakuuma na Mauwaji ya haraiki kila kukicha huku Dunia ikikaa kimya pasi zuio au katazo lolote dhidi ya dhulma hii ya wana Gaza. Je ni nini kipo mbele ya hii Vita?! Kwanini US na mpwa wake UK wanahakikisha Mauwaji haya yanaendelea kila kukicha pasi na Ukomo?!

Kwa akili ya haraka ni ngumu kuamini kwamba Hamas bado watakua Mateka wa Israel ni ngumu na haiwezekani. Kwa imani na itikadi ya Waislamu dhidi ya Wayahudi.

Swali ni kuwa Israel na washirika wake hawajaridhika tu na walichokifanya Gaza mpka sasa?! Na Kwanini waendelee kuua watoto na wagonjwa wakiwa Sanctuary na Hospital.

Nadhani ni wakati wa US na Uk kukatisha msaada wa Kijeshi kwa Israel. Mwanzo nilimuelewa Biden kama mtu mpole sana na mwenye Hofu ya Mungu Mkuu ila kwa bahati mbaya Mungu wao wanaomuabudu anautia wasiwasi Ulimwengu kwa sera zake za Mauwaji kupitia Vita.
watandikwe mpaka ikiwezekana wote waishe wamezidi sana mkuki kwa? hii mimi nasema sawa kabisa
 
Habari wakuu wa Jf poleni na majukumu ya kazi na simanzi ya Janga letu la pale Kariakoo.

Ukifuatilia muenendo wa Vita huko Gaza ni dhahiri kabisa nafsi yako itakuuma na Mauwaji ya haraiki kila kukicha huku Dunia ikikaa kimya pasi zuio au katazo lolote dhidi ya dhulma hii ya wana Gaza. Je ni nini kipo mbele ya hii Vita?! Kwanini US na mpwa wake UK wanahakikisha Mauwaji haya yanaendelea kila kukicha pasi na Ukomo?!

Kwa akili ya haraka ni ngumu kuamini kwamba Hamas bado watakua Mateka wa Israel ni ngumu na haiwezekani. Kwa imani na itikadi ya Waislamu dhidi ya Wayahudi.

Swali ni kuwa Israel na washirika wake hawajaridhika tu na walichokifanya Gaza mpka sasa?! Na Kwanini waendelee kuua watoto na wagonjwa wakiwa Sanctuary na Hospital.

Nadhani ni wakati wa US na Uk kukatisha msaada wa Kijeshi kwa Israel. Mwanzo nilimuelewa Biden kama mtu mpole sana na mwenye Hofu ya Mungu Mkuu ila kwa bahati mbaya Mungu wao wanaomuabudu anautia wasiwasi Ulimwengu kwa sera zake za Mauwaji kupitia Vita.
Nafikiri ungewaza kwanza Iran na waarabu wangekatisha misaada kwa magaidi wa hamas na hezbollah
 
Habari wakuu wa Jf poleni na majukumu ya kazi na simanzi ya Janga letu la pale Kariakoo.

Ukifuatilia muenendo wa Vita huko Gaza ni dhahiri kabisa nafsi yako itakuuma na Mauwaji ya haraiki kila kukicha huku Dunia ikikaa kimya pasi zuio au katazo lolote dhidi ya dhulma hii ya wana Gaza. Je ni nini kipo mbele ya hii Vita?! Kwanini US na mpwa wake UK wanahakikisha Mauwaji haya yanaendelea kila kukicha pasi na Ukomo?!

Kwa akili ya haraka ni ngumu kuamini kwamba Hamas bado watakua Mateka wa Israel ni ngumu na haiwezekani. Kwa imani na itikadi ya Waislamu dhidi ya Wayahudi.

Swali ni kuwa Israel na washirika wake hawajaridhika tu na walichokifanya Gaza mpka sasa?! Na Kwanini waendelee kuua watoto na wagonjwa wakiwa Sanctuary na Hospital.

Nadhani ni wakati wa US na Uk kukatisha msaada wa Kijeshi kwa Israel. Mwanzo nilimuelewa Biden kama mtu mpole sana na mwenye Hofu ya Mungu Mkuu ila kwa bahati mbaya Mungu wao wanaomuabudu anautia wasiwasi Ulimwengu kwa sera zake za Mauwaji kupitia Vita.
Unaweza kuthibitisha huyo Mungu yupo?
 
Habari wakuu wa Jf poleni na majukumu ya kazi na simanzi ya Janga letu la pale Kariakoo.

Ukifuatilia muenendo wa Vita huko Gaza ni dhahiri kabisa nafsi yako itakuuma na Mauwaji ya haraiki kila kukicha huku Dunia ikikaa kimya pasi zuio au katazo lolote dhidi ya dhulma hii ya wana Gaza. Je ni nini kipo mbele ya hii Vita?! Kwanini US na mpwa wake UK wanahakikisha Mauwaji haya yanaendelea kila kukicha pasi na Ukomo?!

Kwa akili ya haraka ni ngumu kuamini kwamba Hamas bado watakua Mateka wa Israel ni ngumu na haiwezekani. Kwa imani na itikadi ya Waislamu dhidi ya Wayahudi.

Swali ni kuwa Israel na washirika wake hawajaridhika tu na walichokifanya Gaza mpka sasa?! Na Kwanini waendelee kuua watoto na wagonjwa wakiwa Sanctuary na Hospital.

Nadhani ni wakati wa US na Uk kukatisha msaada wa Kijeshi kwa Israel. Mwanzo nilimuelewa Biden kama mtu mpole sana na mwenye Hofu ya Mungu Mkuu ila kwa bahati mbaya Mungu wao wanaomuabudu anautia wasiwasi Ulimwengu kwa sera zake za Mauwaji kupitia Vita.
Siku mtakapo amini maandiko ndipo mtajua kile yanamaanisha. Wana wa Israel walipo ambiwa wauweni wote hao maadui zenu, wao wakafanya maridhiano. Ndicho kinacho watafuna mpaka leo. Maana Mungu alimwambia utakua mwiba kwenu.
 
Back
Top Bottom