Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Kiutani utani tu popularity ya Bashiru imeongezeka ghafla Sana yeye ni Team Hustlers anawapigania wanyonge wacha nao wanaowapigania mabwenyenye tuwaone wanaendeleaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimalkia hakikupendi mkuu, andika tu Lugha ya Magufuli.Bashiru is unequalify elite
Ukiona hivyo jua nyundo imemgonga.Kimalkia hakikupendi mkuu, andika tu Lugha ya Magufuli.
Watapita lakin kaz ipo 2025Naye atapita Kama Ndugai. Hiyo ni karma inamrudia.
Haha... Anajiaibisha. 😁Ukiona hivyo jua nyundo imemgonga.
Popularity ipi hiyo? Kwa jinsi katiba ya CCM ilivyo hakuna mtu anaweza pambana na Rais akashinda!! Labda aanzishe chama chake Ili ashughulikiwe na TRA na Polisi!!Kiutani utani tu popularity ya Bashiru imeongezeka ghafla Sana yeye ni Team Hustlers anawapigania wanyonge wacha nao wanaowapigania mabwenyenye tuwaone wanaendeleaje
Acha kumfananisha Ruto na wapuuzi wewe. Huyu anayehubiri ujamaa kwenye Karne ya 21 ambaye akiwa mtendaji mkuu wa chama serikali yake ilifreeze account za wafanyabiashara na kutesa wawekezaji ndo unamuita hustler?Kiutani utani tu popularity ya Bashiru imeongezeka ghafla Sana yeye ni Team Hustlers anawapigania wanyonge wacha nao wanaowapigania mabwenyenye tuwaone wanaendeleaje
Put open proof beyond any doubt, othewise you excrementBashiru is disqualify elite
Mwizi mkubwa
Lugha ya sukuma gang.Kimalkia hakikupendi mkuu, andika tu Lugha ya Magufuli.
Watapita lakin kaz ipo 2025