Ya kuhuzunisha pia tunao waTanzania wanaoishi Finland wakiwemo JF Members


....😀😀😀
hii 'lafudhi' yako bado naifanyia kazi originality yake.

...anyway, I bet wewe ndiwe ulikuwa 1st officer ulonyang'anywa tonge mdomoni, ha ha ha....
bahati yako.
 
poor thing... u never know what brought her there...
 
Kesi ya Mdada Rachel iliendelea hapo jana, Zaidi anadai kuwa alikuwa akitumia kondom ya kike...


 
hii hatari. huku ulaya mitaa kibao nikipita mida ya saa nne usiku, blacks kibao wanazurura kutafuta pesa, wanajiuza laivu. wakenya wamejaa huku, wanijeria ndo usiseme..balaa tupu. ukiona wamekuja ulaya hawana cha kufanya, hawasomi shule au kufanya kazi ya maana, kilichobaki kwao ni hicho tu, hakuna kingine, kujiuza.

lakini wanasababisha wazungu waanze kupima ngoma kwanza kabla ya kutoa visa sasa...pia nahisi haki za binadamu za uyo dada zinavunjwa hapo, na wafinish walivyo wabaguzi wa rangi, namuonea huruma.
 
Kibunango natamani kusoma hayo maelezo kwenye gazeti lakini hata sijui nianzie wapi..
 
mnapiga midomo hapa mbona hata wenye akili punguani, vipofu, vilema wanapata mimba???? hao nao sio wanaume???? stop being so defensive ati zipu huwezi fungua ....mmmm
 


Mtu anakulaje mtu mwenye reception kama hii? da! Jicho ka mwizi?
mkuu,hapo kwenyeavatar unataka kumpiga mtu au unacheza mziki?........kwani tunachotaka ni reception tu?
 
Hapa Dar kwenyewe katika zile kona matata wakati wa usiku wapo kina dada ambao sura zao zinatisha maana ukimwona mchana utadhania jini ---ni wabaya wa sura wa kupindukia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…