Ya Morrison yalivyompofusha Fei Toto

Hivi hao Azam waliosema wanamnunua mbona wapo kimyaaaaaa hii imekaaje jamani ka ToTo kawatu kapo peke ake
 
Hivi hao Azam waliosema wanamnunua mbona wapo kimyaaaaaa hii imekaaje jamani ka ToTo kawatu kapo peke ake
Hivi Azam waliwahi kusema wanamtaka Fei toto, au wachambuzi wetu uchwara ndio walisema?
 
Ninachoona ni watu walishapiga deal Kwa Feisal wakijifanya mawakala. Wanajifanya kushinikiza hukumu Kwa vijineno vya kuchombeza mara wanasiasa wanashinikiza hukumu mara blah blah.
I second you mkuu, very correct,sijui kwa Nini Fei ameingia kwenye anga za hao mawakala uchwara,watampoteza kwa kifupi Fei ana poor management.
 
Ndugu UTO umeandika meengi ya kujifurahisha lakini huo mfano wa MANE umepuyanga MBWA WEWE. Sadio Aliuzwa na LIVERPOOL kwenda Bayen kwa ยฃ35m
 
Maelezo yako yameelemea upande mmoja

Pia ulitakiwa uelezee inakuaje katika mkataba Kuna kipengere Cha kuvunja mkataba lakini Fei alipotataka kuvunja mkataba kwa kufuata hicho kipengere Yanga wamegoma

Na Tff pia ni wanafikii maana katika hukumu yao hawajaelezea kabisa kipengere Cha kuruhusu Fei kuvunja mkataba na kama alikosea kukifuata alikosea wapi
 
Kesho wanatoa kwa nn fei hapaswi kuvunja mkataba wake na yanga
 
Waraka vya kunyonga katika ubora wenu
 
Tangu hili sakata la Feisal lianze humu Jamiiforum! Hili ndio andiko bora na lililoshiba. Ambae hajaelewa ni kujitoa nati tu. Kongole muandishi
 
Fei anahofia pindi mkataba utakapoisha, Je kiwango chake still kitaendelea kuonekana???

Mane hakua na wasiwasi, anaamini kiwango chake, akaamini mkataba utaisha na Kuna siku atapata mkataba mzuri zaid.

Pole sana bwana Fei.
Kiwango chake kingeendelea kua kilekile au kua bora zaidi kama asingejazwa ujinga nae akajaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ