Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Msukuma na Kibajaji hawa ni watu hatari sana kwa ukomavu wa majadiliano yenye afya. Ukiona hawa watu wameibuka ujue kuna jambo ambalo Wananchi linawagusa, Balozi Bashiru kasema yake, huyu anatabia ya kusema ukweli japo sio mwanaCCM huyu.
Anahoja ya maana sana hapaswi kutishwa, na ujinga huu wa akina Kibajaj unamuweka Rais wa Tanzania kama vile sio mtu wa kawaida hapaswi kusemwa.
Bashiru kaitwa na Wakulima hawa ndio wenye nchi yao hata hao CCM wanajua kabisa nembo yao ina jembe na nyundo! Sijui nani aliweka laana ya jembe la mkono na lile linyundo maana tunataabika tu.
Wakulima wameongea lakini madai ya Wakulima hata hayasikiki tena hata Mavunde na Bashe nao hata hawajitokezi kuyasemea ya wakulima wamekaa nao kumfuatilia Bashiru tu. Tunapaswa kuyajadili matamko ya Mviwata pia na sio ya Balozi tu.
Anahoja ya maana sana hapaswi kutishwa, na ujinga huu wa akina Kibajaj unamuweka Rais wa Tanzania kama vile sio mtu wa kawaida hapaswi kusemwa.
Bashiru kaitwa na Wakulima hawa ndio wenye nchi yao hata hao CCM wanajua kabisa nembo yao ina jembe na nyundo! Sijui nani aliweka laana ya jembe la mkono na lile linyundo maana tunataabika tu.
Wakulima wameongea lakini madai ya Wakulima hata hayasikiki tena hata Mavunde na Bashe nao hata hawajitokezi kuyasemea ya wakulima wamekaa nao kumfuatilia Bashiru tu. Tunapaswa kuyajadili matamko ya Mviwata pia na sio ya Balozi tu.