GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
DAR ES SALAAM: YANGA imetambulisha usajili wa kiungo wa pembeni ππ¨π§πππ‘ππ§ ππ€ππ§π ππ₯π¨π¦ππ¨ kutoka timu ya AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC)
Chanzo: habarileo_tz
Na nasikia Wakala wa Zengeli ameshawakazieni na huenda Wiki ijayo Zengeli akarejeshwa Kwao DR Congo alikotokea.
Chanzo: habarileo_tz
Na nasikia Wakala wa Zengeli ameshawakazieni na huenda Wiki ijayo Zengeli akarejeshwa Kwao DR Congo alikotokea.