babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 378
- 984
Ndugu zangu wa Simba hili sakata la Malalamiko ya SportPesa kwa uongozi wa Yanga lisitupotezee muda tukashindwa kujadili mambo muhimu yanayohusu klabu yetu ya Simba na maendeleo yake.
Tunatakiwa Tuhoji kwanini uongozi wa Simba uingie Mkataba na Mo Xtra wa milioni 150. Yaani Mbet alipe bilion 5 kwa mwaka halafu Mo Xtra alipe Mil 150 kwa Mwaka?
Simba ni brand kubwa Afrika, ni mpumbavu pekee anaweza kufurahia kifua cha jezi ya Simba kikichezewa namna hii.
Mkataba huu ni wa kinyonyaji sana na unaipunja klabu yetu..
Tunatakiwa Tuhoji kwanini uongozi wa Simba uingie Mkataba na Mo Xtra wa milioni 150. Yaani Mbet alipe bilion 5 kwa mwaka halafu Mo Xtra alipe Mil 150 kwa Mwaka?
Simba ni brand kubwa Afrika, ni mpumbavu pekee anaweza kufurahia kifua cha jezi ya Simba kikichezewa namna hii.
Mkataba huu ni wa kinyonyaji sana na unaipunja klabu yetu..