babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 378
- 984
Wakiambiwa wao Mbumbumbu wanakataaKama wameshindwa kuhoji bil 20 ya uwekezaji ilipo wanapata wapi akili ya kuhoji mkataba wa Mo Xtra[emoji848][emoji848]?
Hoji mwenyewe.Ndugu zangu wa Simba hili sakata la Malalamiko ya SportPesa kwa uongozi wa Yanga lisitupotezee muda tukashindwa kujadili mambo muhimu yanayohusu klabu yetu ya Simba na maendeleo yake.
Tunatakiwa Tuhoji kwanini uongozi wa Simba uingie Mkataba na Mo Xtra wa milioni 150. Yaani Mbet alipe bilion 5 kwa mwaka halafu Mo Xtra alipe Mil 150 kwa Mwaka?
Simba ni brand kubwa Afrika, ni mpumbavu pekee anaweza kufurahia kifua cha jezi ya Simba kikichezewa namna hii.
Mkataba huu ni wa kinyonyaji sana na unaipunja klabu yetu..
Hivi ni kweli Mo Xtra wanatoa150?P U M B A
Nenda pale msimabazi utapewa majibu ya hili swali lakoHivi ni kweli Mo Xtra wanatoa150?
Hivi mnajua paka sasa Mo anaidai Simba Tsh ngap? Mo hatoi msaada bali anaikopesha Simba na kwa taarifa yako simba inadaiwa fedha nyingi na Mo kuliko iyo bil 20 ya uwekezajiHoji mwenyewe.
Unataka uhoji na nani?
Kwanza unaanzaje kuhoji mkataba halisi hauna. Hawa Utopolo wapumbav sana wanapenda kudandia asiyowahusu
Jibu ni hili. Mdhamini mkuu (wa klabu) huwa anakuwa ni mmoja tu, na ndiye anayewekewa nembo kubwa kifuani. huyu kutokana na ukubwa wake, hata hela anayotoa ni ndefu. Baada ya kupata mdhamini mkuu, klabu inaweza ikawatafuta wadhamini wengine wadogo ambao nembo zao zinakaa pembezoni mwa jezi sawia na nembo ya mdhamini wa ligi (TFF, CAF, FIFA), sio kifuani. Hawa hata hela wanayotoa huwa sio kubwa kama ya mdhamini mkuuTunatakiwa Tuhoji kwanini uongozi wa Simba uingie Mkataba na Mo Xtra wa milioni 150. Yaani Mbet alipe bilion 5 kwa mwaka halafu Mo Xtra alipe Mil 150 kwa Mwaka?
We chawa acha matusi, toa mchango wa kujenga timu yetu Mo anatupiga sanaP U M B A
Tuambie mwanasimba namba moja.Hivi mnajua paka sasa Mo anaidai Simba Tsh ngap? Mo hatoi msaada bali anaikopesha Simba na kwa taarifa yako simba inadaiwa fedha nyingi na Mo kuliko iyo bil 20 ya uwekezaji
Aisee sasa ilikuwaje tukatae mil 100 za gsm kukaa begani kama Mo Xtra yupo kifuani Kwa mil 150??Jibu ni hili. Mdhamini mkuu (wa klabu) huwa anakuwa ni mmoja tu, na ndiye anayewekewa nembo kubwa kifuani. huyu kutokana na ukubwa wake, hata hela anayotoa ni ndefu. Baada ya kupata mdhamini mkuu, klabu inaweza ikawatafuta wadhamini wengine wadogo ambao nembo zao zinakaa pembezoni mwa jezi sawia na nembo ya mdhamini wa ligi (TFF, CAF, FIFA), sio kifuani. Hawa hata hela wanayotoa huwa sio kubwa kama ya mdhamini mkuu
Kwa kujibu swali lako, NBC, Mo Extra, Africarriers, MO29, ATCL, Vunjabei nk kama wanatakiwa kukaa katika jezi, basi ni pembezoni, maana mdhamini mkuu (M-Bet) nafasi yake ni kifuani. Kwa hiyo ndugu, tuondokane na mawazo ya kulalamikia wadhamini eti wanatoa hela ndogo, tena hasa kwa kuziandama bidhaa za MeTL, hawa wote wanaisaidia sana Simba lakini bado kwa heshima M-Bet anayetoa hela nyingi anakaa kifuani. Kuendelea kulinganisha M-Bet na Mo Extra au Vunjabei ni kuendekeza mawazo yaliyofinyika
GSM hakuwa mdhamini wa klabu,bali aliingia katikati ya ligi kama mdhamini wa ligi, na akatoa sh. 2B tu kwa udhamini timu zote 16 pamoja na TFF, bila vilabu kushirikishwa. Kwa hiyo vilabu vilipewa amri tu kwamba viweke nembo ya GSM na vipokee hiyo hela. Hoja ya Simba haikuwa kuzikataa hela, ila kujua udhamini ulivyo na formula iliyotumika kuvigawia hiyo helaAisee sasa ilikuwaje tukatae mil 100 za gsm kukaa begani kama Mo Xtra yupo kifuani Kwa mil 150??
Mkuu juzi tu kwenye mkutano mkuu wa klabu Mo kaikopesha Simba bil 3.9. Je unazo hizi taarifa au huna?Tuambie mwanasimba namba moja.
Tunadaiwa shilingi ngapi?
Vinginevyo, acha umbeya
Kama Kuna makubaliana ya kimaandishi hapo sawa. Kama hana - kiendacho kwa mganga....Hivi mnajua paka sasa Mo anaidai Simba Tsh ngap? Mo hatoi msaada bali anaikopesha Simba na kwa taarifa yako simba inadaiwa fedha nyingi na Mo kuliko iyo bil 20 ya uwekezaji