Kwani huelewi kuwa hili ni jukwaa linalohusu Kenya? Ukitaka mambo ya ufipa nenda jukwaa la siasa.Shetani amewatawala miaka 60 mmeshindwa kumtoa,unashabikia mambo ya Kenya
Sijawahi ona Kamongo yenye akili. Furahia hii amani uliyo nayo.Shetani amewatawala miaka 60 mmeshindwa kumtoa,unashabikia mambo ya Kenya
Amani ya maviSijawahi ona Kamongo yenye akili. Furahia hii amani uliyo nayo.
Kenya ni jasiri muongoza njia.. Kuna south Africa piaMaana nchi nzima wanakuta Nairobi Kwa maandamano na wengi wameapa kwenda state house kumtoa Ruto...Je Hali itakuwaje? Au ndio wanacopy ya sirlanka ? Kesho vyombo vya habari vitakuwa live...
View attachment 2558573
Unafikiri kila mtu ni mfuasi wa chadema ,wakenya wanajitambua sio kama nyie mapoyoyo maokunywa maji ya kisima kwa miaka 60Kwani huelewi kuwa hili ni jukwaa linalohusu Kenya? Ukitaka mambo ya ufipa nenda jukwaa la
Wanadhani watakula mtori milele.Haya mambo yanaenda yakisambaa. Ukiona mwenzio ananyolewa, wewe tia maji
Bado Zimbabwe wamepigika kinoma siku sio nyingi kitanukaHaya mambo yanaenda yakisambaa. Ukiona mwenzio ananyolewa, wewe tia maji
Mnuso wa kimagharib au kirussia?Kenya ni jasiri muongoza njia.. Kuna south Africa pia
Nimekuambia nenda jukwaa la siasa kama unataka mambo ya ufipa. Hapa tunajadili Kenya, umenisikia wewe Kamongo. Kama wewe unajitambua mbona upo hapa JF umebaki kulia lia tu?Unafikiri kila mtu ni mfuasi wa chadema ,wakenya wanajitambua sio kama nyie mapoyoyo maokunywa maji ya kisima kwa miaka 60
South Africa hawana ujasiri wowote ni vilaza tuKenya ni jasiri muongoza njia.. Kuna south Africa pia