Ya Sri Lanka yanaweza tokea Kenya kesho?

Shetani amewatawala miaka 60 mmeshindwa kumtoa,unashabikia mambo ya Kenya
 
Kama ni kweli, basi ruto aandae jeshi mapema
 
Unafikiri kila mtu ni mfuasi wa chadema ,wakenya wanajitambua sio kama nyie mapoyoyo maokunywa maji ya kisima kwa miaka 60
Nimekuambia nenda jukwaa la siasa kama unataka mambo ya ufipa. Hapa tunajadili Kenya, umenisikia wewe Kamongo. Kama wewe unajitambua mbona upo hapa JF umebaki kulia lia tu?
 
Umeandika pumba tupu tu huna lolote,ebu uwache kuwashwa na nchi za watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…