Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,833
- 11,173
Nafasi ya sasa ya Mkurugenzi wa Shirika la umeme Tanzania (Tanesco)Dr Idrisa Rashid sambasamba na ya Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini(Sumatra) Israel Sekirasa zote zimetangazwa kwenye magazeti kama zipo wazi,na kuwahimiza watz wenye sifa kuziwania kwenye soko huru la ajira.
Kinachonishangaza ni kuwa nafasi za Mkurugenzi Mkuu ktk mashirika Tanzu Tanzania huwa ni za kuteuliwa na Rais! Na hata hawa wakurugenzi 2 waliomaliza muda wao waliteuliwa na Rais! Iweje sasa tutangaziwe nafazi hizi badala ya Rais kuwateua?
Hii imenishangaza na naomba msaada wenu wana JF; Kwa uelewo wangu, ni Bunge tu lenye nguvu za kubadili vifungu vya sheria, Je ndiyo kusema Bunge lilibadili katiba kuruhusu baadhi ya nafasi za kuteuliwa sasa ziwaniwe kwenye nguvu ya soko la ajira? Na kama ni Bunge liliruhusu, Bunge la kikao gani lilifanya hivi?
Je kama kweli Rais ndiye mwenye nguvu Za kuteua watendaji hawa,iweje sasa asifanye hivyo?Je ndiyo kusema sasa Rais wa Tanzania kaanza kupunguziwa madaraka? Kama kaanza kupunguziwa madaraka yake, je ni chombo gani halali kimempunguzia Rais madaraka yake ya uteuzi?
Wana JF nisaidieni kwa hili jambo,Maana sielewi hii move;Dr Idrissa Rashid na wakurugenzi wengine waKuu wa mashirika Tanzu ya TZ huwa wanateuliwa na Rais,iweje hawa nafasi zao zitangazwe magazetini?!
Kinachonishangaza ni kuwa nafasi za Mkurugenzi Mkuu ktk mashirika Tanzu Tanzania huwa ni za kuteuliwa na Rais! Na hata hawa wakurugenzi 2 waliomaliza muda wao waliteuliwa na Rais! Iweje sasa tutangaziwe nafazi hizi badala ya Rais kuwateua?
Hii imenishangaza na naomba msaada wenu wana JF; Kwa uelewo wangu, ni Bunge tu lenye nguvu za kubadili vifungu vya sheria, Je ndiyo kusema Bunge lilibadili katiba kuruhusu baadhi ya nafasi za kuteuliwa sasa ziwaniwe kwenye nguvu ya soko la ajira? Na kama ni Bunge liliruhusu, Bunge la kikao gani lilifanya hivi?
Je kama kweli Rais ndiye mwenye nguvu Za kuteua watendaji hawa,iweje sasa asifanye hivyo?Je ndiyo kusema sasa Rais wa Tanzania kaanza kupunguziwa madaraka? Kama kaanza kupunguziwa madaraka yake, je ni chombo gani halali kimempunguzia Rais madaraka yake ya uteuzi?
Wana JF nisaidieni kwa hili jambo,Maana sielewi hii move;Dr Idrissa Rashid na wakurugenzi wengine waKuu wa mashirika Tanzu ya TZ huwa wanateuliwa na Rais,iweje hawa nafasi zao zitangazwe magazetini?!