Elections 2010 Yaacheni magugu na ngano viote pamoja

Freetown

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2008
Posts
882
Reaction score
78
Kuna mchangiaji katoa haya maoni kwa kweli nimeyapenda

anasema:-Kwa kweli nimeyakubali yale maandiko yanayosema YAACHENI MAGUGU NA NGANO VIOTE PAMAJA . Na itakapo fika wakati wa kuvuna sisi wavunaji tutajua ni nini cha kufanya hapo tarehe 31st October.

Kwa hakika kila mtu anapokwenda kuvuna ataruka magugu na kuvuna ngano

Mwenyezi Mungu ibariki tarehe 31st October, na uwape ufahamu Watanzania wanaoteseka kutokana na uongozi unaokumbatia mafisadi, kutoichagua ccm
 
magugu ni ch...........................................,cu................................. na ngano ni Chama chetu kileeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…