najua huenda nimekosea njia,lakin pia c mbaya 2kaangalia hii mambo ambayo inanikeraga kupita maelezo na huenda nawe yamewai kuku kumba.nimesoma na kukaa na watu wengi wenye tabia tofauti,ila kinachoniuma ni kuwa nimekua rafiki wa ukwel haswa wale marafiki zangu wa karibu,hakuna best yangu atakaekuja na shida yoyote ile ambayo ipo ndan ya uwezo wangu nkamwangusha hata sa ingne natoa hata kama itaniathiri bdae ilimradi 2 kudumisha urafik we2,kinachonifanya nichanyikiwe na nishndwe kujielewa n kuwa hawa hawa mabest wangu wa karibu ndo huniangusha,why?kwa sababu kila nkiwakopesha hela hairudi kwa mda muafaka huchukua hata karibu ya mwaka,na ntaipata kwa kujishusha ijapo ndo mwenye mali au sa ingne na kugombana pia,hunifungia cmu sa ingne nk,kuna wakat nami napungukiwa nkiwaconsult weng hunipiga chenga na ntapata jawabu tena kwa m2 nisiyekua nae karibu cna.wana jf am confused and retreated by my close frnd,just soma andika anythng unachowaza.