Yaani bora kidooogo uwaamini Singida Black Stars FC ikicheza na Yanga SC kuliko Wanafiki wa leo Azam FC

Yaani bora kidooogo uwaamini Singida Black Stars FC ikicheza na Yanga SC kuliko Wanafiki wa leo Azam FC

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tegemeeni kumuona Afisa Habari mwana Yanga SC lia lia Hashim Ibwe akizuga Kulia, kulalamikia Mwamuzi na Kuumia kwa Kipigo watakachokipata kutoka kwa Yanga SC leo jioni / usiku huku Moyoni mwake na Rohoni kwake Akifurahia hakuna mfano.

Wale wana Simba SC Wenzangu hapa JamiiForums mnaodhani Azam FC itamfunga Yanga SC leo au hata tu kutoka nayo Sare au Suluhu HAMNA AKILI kabisa.

Tujilaumu kwanini Yanga SC anatuokota kila mara kiasi kwamba sasa Simba SC tumekuwa rasmi ni Wake rasmi na Tukuka wa Yanga SC na wakitaka tu (muda wowote ule) tunawapa yote.
 
Tegemeeni kumuona Afisa Habari mwana Yanga SC lia lia Hashim Ibwe akizuga Kulia, kulalamikia Mwamuzi na Kuumia kwa Kipigo watakachokipata kutoka kwa Yanga SC leo jioni / usiku huku Moyoni mwake na Rohoni kwake Akifurahia hakuna mfano.

Wale wana Simba SC Wenzangu hapa JamiiForums mnaodhani Azam FC itamfunga Yanga SC leo au hata tu kutoka nayo Sare au Suluhu HAMNA AKILI kabisa.

Tujilaumu kwanini Yanga SC anatuokota kila mara kiasi kwamba sasa Simba SC tumekuwa rasmi ni Wake rasmi na Tukuka wa Yanga SC na wakitaka tu (muda wowote ule) tunawapa yote.
 
Kama kawaida azam mazima watukamie, kama wangekua wanafanya hivyo kwenye kila mechi wangekua mabingwa
 
Azam wanafiki ndio maana hawafanikiwi. Walitaka kuwapa Yanga goli la Bure. Sema Aziz Kii akapiga vibaya mpira. Very stupid team.
 
Back
Top Bottom