Labda wewe ndio mshamba.Basi wewe ni bonge la mshambaView attachment 1570897
Kwani we ni mwanaume au mvulana?Kwanini mkuu, yaani wanne wote bado tu haujawa mjanja?
Basi wewe mshamba.
Kwani wewe unaonaje?Kwani we ni mwanaume au mvulana?
Tuanzie hapo kwanza.
Sent from my SM-N910W8 using JamiiForums mobile app
Huo utakuwa uzinzi class A2 ππππNaanza kufikiri kuhamia hii dini!..π
Hiyo ni kwa tafsiri yako ila kwa mujibu wao wanaita ni suna..πHuo utakuwa uzinzi class A2 ππππ
Aya bhana ila huwa wapo vizur kwenye swala la mahari hapo ndio wananivutia na kijistiriHiyo ni kwa tafsiri yako ila kwa mujibu wao wanaita ni suna..π
Vipi Sasa weye wasemaje au waonaje..??Aya bhana ila huwa wapo vizur kwenye swala la mahari hapo ndio wananivutia na kijistiri
Nenda tu tena taraka zao zinatolewa kirahis unaweza oa asubuh ukampata taraka mchana, jion ukaoa mwingne. Ila bado haizuii kuchepukaVipi Sasa weye wasemaje au waonaje..??