Yaani mpaka GENTAMYCINE 'awachokonoe' ndipo mkubali na muanze kuchukua hatua ya Kumtibia Kijana vizuri?

Yaani mpaka GENTAMYCINE 'awachokonoe' ndipo mkubali na muanze kuchukua hatua ya Kumtibia Kijana vizuri?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Imeelezwa kiungo Mapinduzi Balama anatarajiwa kuelekea nchini Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu zaidi ya majeraha yake

Balama amekuwa nje ya uwanja wa miezi sita sasa akiuguza majeraha aliyopata mwishoni mwa msimu uliopita

Pamoja na kuelezwa hali ya nyota huyo ilikuwa ikiendelea vizuri akianza mazoezi mepesi chini ya uangalizi wa Madaktari, wataalamu hao wamependekeza apelekwe Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu zaidi

Afisa Mhamasishaji wa Yanga Antonio Nugaz, amethibitisha kuwa Balama ataondoka nchini wakati wowote kuanzia Alhamisi

Balama alipata majeraha mwezi Juni 2020 ligi iliporejea baada ya mapumziko ya corona

Chanzo: yangawhatsapp_makaomakuu

Kwa Watu wa Mpira kama Sisi ambao Maisha yetu ni Kukutana 24/7 na hawa Wachezaji Wenu huyu Mchezaji analaumu mno kuwa hathaminiwi.
 
Imeelezwa kiungo Mapinduzi Balama anatarajiwa kuelekea nchini Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu zaidi ya majeraha yake

Balama amekuwa nje ya uwanja wa miezi sita sasa akiuguza majeraha aliyopata mwishoni mwa msimu uliopita

Pamoja na kuelezwa hali ya nyota huyo ilikuwa ikiendelea vizuri akianza mazoezi mepesi chini ya uangalizi wa Madaktari, wataalamu hao wamependekeza apelekwe Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu zaidi

Afisa Mhamasishaji wa Yanga Antonio Nugaz, amethibitisha kuwa Balama ataondoka nchini wakati wowote kuanzia Alhamisi

Balama alipata majeraha mwezi Juni 2020 ligi iliporejea baada ya mapumziko ya corona

Chanzo: yangawhatsapp_makaomakuu

Kwa Watu wa Mpira kama Sisi ambao Maisha yetu ni Kukutana 24/7 na hawa Wachezaji Wenu huyu Mchezaji analaumu mno kuwa hathaminiwi.
Mkuu ligi ya Bongo ipo kivyevyetu Sanaa....ingawa sidhani Kama ilikua lengo lao kumuacha mchezaji aendelee kuteseka....pengine Kuna matibabu yalikua yakiendelea wakiamini yatamsaidia lkn imekua sivyo ndivyo....ndo hapo wamefikia maamuzi hayo
 
Nyie mikia fraga hata bochu hamjampeleka mmeamua kumtupia virago kabisa,halafu kapigwa kitu kizito kutoka mitaa ya kinole morogoro na mkude
 
Back
Top Bottom